Si mnataka haki za binadamu na demokrasia? mtu kakamatwa na madawa ya kulevya airport tena kayahifadhi kwenye rectum anapewa juice ya kuharisha anamwaga pipi kadhaa lakini utasikia tunafanya upelelezi ukikamilika atapelekwa mahakamani, huku nyuma mtu anaandaa namna ya kujitetea. wanasheria wanatuambia "somebody is not guilty until proved guilty and shall proved guilty in the court of justice" mimi si mwanasheria ila naamini nimeeleweka. Sasa kwa mtu aliyekamatwa na dope, bunduki na risasi bila kibali, pesa za moto nk kwanini wasinyongwe kama ilivyo Iran, Saudi Arabia, Syria na China? au akapelekwa jela moja kwa moja kuna haja gani ya kuanza kusikiliza kesi?
Kwa zombe askari wenzie walikiri kura jamaa alikua na mtandao wa majambazi na ndiye aliyeamuru wale mabwana wauawe na madini alichua yeye badala ya kifungo bila kesi au kungongwa ndiyo hayo sasa yanakuja na lazima alipwe kama akishinda kesi dhidi ya serikali. Cha msingi ni kuandamana kutaka sheria ya kumnyonga mtu pale anapopatikana na kosa la wizi, mauaji, rushwa na madawa ya kulevya. palepale amekutwa na pesa za moto au unga asomewe hukumu ya kunyonwa bila kujali ni ndugu yangu au ni nani itakua fundisho kwa wengine. Ukiandamana kupinga mtu kulipwa wakati mahakama yako imeshahukumu hivyo katika rufani zote itakua ngumu hata iwe ni chama gani kiko madarakani, njia ya kupinga hukumu ni kukata rufaa pekee na siyo tofauti ama la Zombe anyamazishwe kwa kuondolewa katika sura ya dunia.