Zombe ashikwa pabaya, rufaa yatinga leo

Zombe ashikwa pabaya, rufaa yatinga leo

in short hata wakate rufaa mahakama ya dunia kwa ushahidi ule zombe hafungwi wala hatatiwa hatiani.toka lini ushahidi wa kimazingiza katika kesi ya mauaji unamtia mtu hatiani?Zombe ana haki ya kujigamba kuwa serikali inapoteza muda maana anajua ni upuuzi mtupu
kaka hapo umemaliza kila kitu, kisheria kama wakija na ushaidi ule basi zombe hafungwi, labda ahukumiwe na vijiwe au vyombo vya habari kama mwanzoni.me nashangaa eti kesi ya mauwaji anategemea ushaidi wa mazingira, wakati wanajua fika kesi ya mauwaji ni a prove beyond reasonable doubt..100%
 
Huyo DPP wakati anakata rufaa inabidi atueleze pia wamefikia wakati kumtafuta yule askari ambaye ndiye aliyefyatua risasi zilizowaua hawa ndugu zaetu amba hawakuwa na hatia.
 
Wakati wa kuondolewa madarakani DPP na kuvunja ofisi yake ili iundwe upya umefika. Maneno ya Zombe kuhusu ofisi hiyo kuwa na tabia ya kubambika kesi watu ovyo ovyo si ya kupuuzia maana yameshasemwa na wengi na kesi zingine zinafahamika kabisa.
Sasa kwa nini Raia wema waendelee kupata shida kwa ajili ya UPUMBAVU wa watumishi wachache ambao Raia haohao ndio wanawalipa?
Kupewa kesi ya kubambikwa kisha ukakaa Rumande kwa muda mrefu kwa ajili ya furaha ya mtu au makusudio binafsi ni kitendo kinachoumiza sana na kinaweza kusababisha uvunjifu wa amani.
Hawa watu waondolewe ofisi ile.
 
Back
Top Bottom