Ibun Sirin
Member
- May 20, 2022
- 50
- 106
Siku zote uchawi hauwaminiki uwepo wake au nguvu yake ispokuwa kwa wale waliodhurika nao.
Mwenye nao akikuangalia tu utaumwa tumbo hadi kufa, au akikiangalia chakula hata kipikweje hakiivi na kikiiva kinakuwa hakina ladha kabisa na watakaokila lazima matumbo yawaume sana halafu waharishe sana.
Zongo inaweza kupigwa kwa mtoto mchanga, mama mjamzito, n.k Zongo huwa ni Husda ya mchawi kwa kile unachokifanya au unacho jifagharisha nacho. Zongo inaweza kupigwa pia kwenye vyombo vya usafiri, kama umeshawahi kusikia gari hili limerogwa au kila wakati lina haribika na kutengenezwa, au kama umewahi kusikia boti hili linaharibika kila likipakia abiria au injini yake kufeli kila likipata mzigo wa kusafirisha.
Kujikomboa:
Dumu katika ibada, na pia Choma chumvi ya mawe nyumbani kwako na katika vyumba pia, huondoa sana nuksi katika nyumba, vyumba na sehemu ya bishara na katika vyombo vya usafiri.
Mwenye nao akikuangalia tu utaumwa tumbo hadi kufa, au akikiangalia chakula hata kipikweje hakiivi na kikiiva kinakuwa hakina ladha kabisa na watakaokila lazima matumbo yawaume sana halafu waharishe sana.
Zongo inaweza kupigwa kwa mtoto mchanga, mama mjamzito, n.k Zongo huwa ni Husda ya mchawi kwa kile unachokifanya au unacho jifagharisha nacho. Zongo inaweza kupigwa pia kwenye vyombo vya usafiri, kama umeshawahi kusikia gari hili limerogwa au kila wakati lina haribika na kutengenezwa, au kama umewahi kusikia boti hili linaharibika kila likipakia abiria au injini yake kufeli kila likipata mzigo wa kusafirisha.
Kujikomboa:
Dumu katika ibada, na pia Choma chumvi ya mawe nyumbani kwako na katika vyumba pia, huondoa sana nuksi katika nyumba, vyumba na sehemu ya bishara na katika vyombo vya usafiri.