Zoom Meeting ya Askofu Gwajima na Rafiki yake CEO wa Pfizer. Tunaomba marejesho

Zoom Meeting ya Askofu Gwajima na Rafiki yake CEO wa Pfizer. Tunaomba marejesho

The Khoisan

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2007
Posts
16,434
Reaction score
14,547
Mwezi uliopita Askofu Gwajima Siku ya Jumapili akiwa madhabahuni alidai kuwa Jumanne iliyokuwa inafuata angekuwa na Zoom Meeting na rafiki yake ambaye ni CEO wa Pfizer pamoja na mgunduzi wa technology ya mRNA vaccine ambaye pia ni rafiki yake. Pia alidai kuwa atawapa waumini wake link kupitia Instagram account yake.

Kama haukuwa uendelezo wa uongo wa Gwajima kama ule wa kutuletea tren, kujifufua na kufufuka wafu pamoja na kutupeleka wana Kawe Birmingham, Alabama.

Mwenye marejesho atusaidie.
 
Nilishasahau kumbe yule msanii alitoa ahadi, wakiambiwa huwa anatafuta wateja wa ile biashara yake ya kanisa hawaelewi.
 
Mwezi uliopita Gwajima akiwa madhabahuni alidai kuwa Jumanne iliyo kwa inafuata angekuwa na Zoom Meeting na rafiki yakeambaye ni CEO W Pfizer pamoja na mgunduzi wa technology ya mRNA vaccine ambaye pia ni rafiki yake. Pia alidai kuwa atawapa waumini wake link kupitia Instagram account yake.

Kama haukuwa uendelezo wa uongo wa Gwajima kama ule wa kutuletea tren, kujifufua na kufufuka wafu pamoja na kutupeleka wana Kawe Birmingham, Alabama.... Mwenye marejesho atusaidie.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Jamaa alishawahi kutafuna mwana kondoo wake afu alivyobanwa akasema ule mkono Ni wa baunsa sio wake.Uongo Ni jadi yake.
 
Jamaa muongooo! Anasema hatujafanya utafiti wa kutosha kuhusu hizo chanjo huku akizungumzia habari za kuwa mazonbi.

Kondoo wake wakisikia maneno kama “nano techology” wanaona wanazungumza na mtaaalmu! Hawajui wamekabidhi roho na akili zao kwa conspiracy theorist!

Kinachonishangaza ni kuwa sababu za Gwajiboy kupinga chanjo sio sawa na zile za wengine wengi huko duniani. Wapinga chanjo wanasimamia “hiari” kama sababu. Hapa tunasikia mpaka 666, sijui NIDA
 
Gwajima anataka kufikiri watanzania wote tunaweza kuwa mazezeta kama waumini wake wanaomshangilia anapoongea maujinga yake.
 
Jamaa muongooo! Anasema hatujafanya utafiti wa kutosha kuhusu hizo chanjo huku akizungumzia habari za kuwa mazonbi.

Kondoo wake wakisikia maneno kama “nano techology” wanaona wanazungumza na mtaaalmu! Hawajui wamekabidhi roho na akili zao kwa conspiracy theorist!

Kinachonishangaza ni kuwa sababu za Gwajiboy kupinga chanjo sio sawa na zile za wengine wengi huko duniani. Wapinga chanjo wanasimamia “hiari” kama sababu. Hapa tunasikia mpaka 666, sijui NIDA
Kawaaminisha Waumini kuwa mahubiri yake ni Roho Mtakatifu ndiye anaongea.

Sasa huyo Roho Mtakatifu wa Gwajima hajui hata kirefu cha FDA.... Sijui ni roho Mtakatifu wa wapi...!!?
 
Mwezi uliopita Gwajima Siku ya Jumapili akiwa madhabahuni alidai kuwa Jumanne iliyokuwa inafuata angekuwa na Zoom Meeting na rafiki yakeambaye ni CEO W Pfizer pamoja na mgunduzi wa technology ya mRNA vaccine ambaye pia ni rafiki yake. Pia alidai kuwa atawapa waumini wake link kupitia Instagram account yake.

Kama haukuwa uendelezo wa uongo wa Gwajima kama ule wa kutuletea tren, kujifufua na kufufuka wafu pamoja na kutupeleka wana Kawe Birmingham, Alabama.... Mwenye marejesho atusaidie.
Mbona link alitoa na ilianza saa sita za usiku kwa Africa mashariki ilikuwa na watu kama 30 hivi hapa tz walikuwa wanne ulikuwa wapi ndugu?
 
Jamaa muongooo! Anasema hatujafanya utafiti wa kutosha kuhusu hizo chanjo huku akizungumzia habari za kuwa mazonbi.

Kondoo wake wakisikia maneno kama “nano techology” wanaona wanazungumza na mtaaalmu! Hawajui wamekabidhi roho na akili zao kwa conspiracy theorist!

Kinachonishangaza ni kuwa sababu za Gwajiboy kupinga chanjo sio sawa na zile za wengine wengi huko duniani. Wapinga chanjo wanasimamia “hiari” kama sababu. Hapa tunasikia mpaka 666, sijui NIDA
kachanje wewe ndugu
 
Serikali isingeweza ruhusu hili jambo litokee, kabla hujaanza vijembe Fikiria tu kwa akili nyepesi. Yaan mamlaka zilete chanjo alafu waruhusu meeting za kukosoa chanjo
 
Back
Top Bottom