Zoom Meeting ya Askofu Gwajima na Rafiki yake CEO wa Pfizer. Tunaomba marejesho

Zoom Meeting ya Askofu Gwajima na Rafiki yake CEO wa Pfizer. Tunaomba marejesho

Mbona hayaingiliani kabisa na issue yako ,mimi niliangalia meeting na nikaona Gwajima yuko sahihi kabisa
 
CEO wa pfizer hawezi kuongea na mtu kama Gwajima kimajadiliano, achilia kuwa rafiki yake.
Yaani Rashid akiwa madhabahuni yake huwa anajiona ndiye anayejua kila kitu.

Sidhani ukimuwekea picha za hao anazodai kuwa ni marafiki zake anaweza hata kuwatambua.
 
Mbona hayaingiliani kabisa na issue yako ,mimi niliangalia meeting na nikaona Gwajima yuko sahihi kabisa
Hiyo Zoom Meeting ikifanyika lini? Kama ilifanyika, tupe marejesho ya kile hawa marafiki walikizungumza.
 
Back
Top Bottom