Zoran kutimkia Al Ittihad baada ya kuomba kuondoka Simba SC

Zoran kutimkia Al Ittihad baada ya kuomba kuondoka Simba SC

Kwenye shida na raha, kufa na kuzikana

Niokoooooo!
 

Attachments

  • Zolane.jpg
    Zolane.jpg
    40 KB · Views: 2
NB: translated from swahili to avoid utopolo harsh words and insults mostly welcome to share your opinion in British language only I hope every simba fan is awere of the thread expect them.

Is it proper English?
Naona utopolo mnahangaika ngoja niongee tu kiswahili
 
Mostly welcome [emoji23][emoji23] English ya wapi hii
Nimewapoteza maboya watu mlioshindwa kuelewaa idadi ya substitution na mnaenda airport kupokea team ngeni inaonyesha hamna kazi za kufanya na kichwani ung'eng'e haupandi vile vile
 
Nimewapoteza maboya watu mlioshindwa kuelewaa idadi ya substitution na mnaenda airport kupokea team ngeni inaonyesha hamna kazi za kufanya na kichwani ung'eng'e haupandi vile vile
Kwa akili yako English ndio kipimo cha akili? Basi UK hakuna wajinga
 
Hapa sasa ndio nimeelewa, kumbe kocha ndio ametukimbia, nikadhani tulimfukuza nikawa najiuliza kosa lake nini sipati jibu.
 
Former Wydad Casablanca head coach Zoran Manojlovic has reached an agreement with Egyptian side Itthad Alex SC to be their next head coach.

According to Filgoal, Serbian International Zoran Manojlovic has reached an agreement with the Egyptian side ahead of their League campaign after placing 12TH in the Egyptian League last season.

Tanzanian Club Simba FC is currently coached by 60-year-old coach Zoran. Zoran won the Algerian League, the Angolan League twice, and the Angolan Super Cup during his coaching career.

Last season, Al Ittihad of Alexandria finished 12th in the Egyptian Premier League table with 38 points.According to reports, the Serbian coach will be paid $30,000 per year.

Will be paid $30,000 per year?

TShs 69,000,000/- per year which means Tsh 5,800,000 per Month! I dont believe this
 
Former Wydad Casablanca head coach Zoran Manojlovic has reached an agreement with Egyptian side Itthad Alex SC to be their next head coach.

According to Filgoal, Serbian International Zoran Manojlovic has reached an agreement with the Egyptian side ahead of their League campaign after placing 12TH in the Egyptian League last season.

Tanzanian Club Simba FC is currently coached by 60-year-old coach Zoran. Zoran won the Algerian League, the Angolan League twice, and the Angolan Super Cup during his coaching career.

Last season, Al Ittihad of Alexandria finished 12th in the Egyptian Premier League table with 38 points.According to reports, the Serbian coach will be paid $30,000 per year.
Mshahara wa $ 30,000/- per year? Seriously? Yaani Sinba walikuwa wanamlipa mshahara kidogo cha chini ya $3,000/- kwa mwezi?[emoji16]

Vv
 
Back
Top Bottom