bioto
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,261
- 2,097
Magaidi waliingia kanisani wakawakuta waumini 150 wakiwa katika ibada. Kiongozi wa magaidi akatangaza kuwa atawaua watu 100 kati ya 150. Akaongeza kuwa atawaua kulingana na mpangilio wa majina yao kialfabet kutoka A-Z.
Akaanza kumwuliza jina mchungaji Mkuu, mchungaji Mkuu akasesa anaitwa:
ZEJOSEPHAT ZEEMANUELI
Mchungaji msaidizi naye akasema anaitwa:
ZEGOER ZODEVID
Gaidi akaja kwa wazee wa kanisa. Mzee wa kwanza akasema anaitwa
ZEPHILEMON ZUDAUDI
Mzee wa pili akasema anaitwa
ZAABRAHAM ZUMIKAELI
Wa tatu akapiga kelele akasema hao wanadanganya mimi jina langu ni
ZEJOSE ZEVEREST.....
Na We ungekuwepo hapo kanisani ungesema unaitwa nani? Mimi ningejiita
ZUBIOTO ZEYONA ZARAPHAEL
Akaanza kumwuliza jina mchungaji Mkuu, mchungaji Mkuu akasesa anaitwa:
ZEJOSEPHAT ZEEMANUELI
Mchungaji msaidizi naye akasema anaitwa:
ZEGOER ZODEVID
Gaidi akaja kwa wazee wa kanisa. Mzee wa kwanza akasema anaitwa
ZEPHILEMON ZUDAUDI
Mzee wa pili akasema anaitwa
ZAABRAHAM ZUMIKAELI
Wa tatu akapiga kelele akasema hao wanadanganya mimi jina langu ni
ZEJOSE ZEVEREST.....
Na We ungekuwepo hapo kanisani ungesema unaitwa nani? Mimi ningejiita
ZUBIOTO ZEYONA ZARAPHAEL