Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Tuseme hata Kapteni wa Game alikua anaunga-unga? Nimeshangaa Jo alishindwa kwenda kumzika kisa alikua nje ya nchi. Alishindwa kupata tiket kuwahi mazishi?Kwa hapa Tanzania taasisi nyingi binafsi (hususani za mitandao na hata Radio au Tv) hazina ajira rasmi kwa watumishi wake wengi. Malipo huwa ni posho, tena kwa siku, wiki au kazi. Zimekaa kishkaji mnoo, ni kwa sababu kiuchumi zinaunga unga sana.
Hivyo watu wapo kujishikiza tu, na wamiliki wanawaambia live kuwa kama ukiona hicho wanachokupa hakikutoshi kuvuta siku, basi sepa tu, maana wahitaji wa hiyo nafasi wako wengi wanasubiria.
kama huna habari kamili na sahihi usikurupuke kuleta mada jfMbona anakua addressed kama staff wa mwamba?
Dada tafuta habari kabla hujaanza mipasho.kama huna habari kamili na sahihi usikurupuke kuleta mada jf
Joe aliwepo MoshiTuseme hata Kapteni wa Game alikua anaunga-unga? Nimeshangaa Jo alishindwa kwenda kumzika kisa alikua nje ya nchi. Alishindwa kupata tiket kuwahi mazishi?
Umbwa = mbwa
Huyu umbwa hajui kama hii ni minokia na misamsung[emoji28][emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji28][emoji1787]Mwalimu wa kiswahili unasahihisha mpaka ‘misimu’?
Joe alienda baada ya mazishi. Kuhani msibaJoe aliwepo Moshi
Ndo maana ye mwenyewe akawa anajichubua na kujiita zuchuAlishaacha kazi kwa millard siku nyingi na alikua kwenye biashara ya vipodozi.
Mbona unakazana na Millard Ayo. Tujiulize maslahi ya wafanyakazi Metl, Murzah,Azam, Asas na IPP. Maana haya makampuni yanamilikiwa na matajiri wakubwa.Poleni Kwa msiba huu wa Zuchi.
Kamanda akiwa katika majukumu ya kazi kapata ajali, kafariki kaacha watoto wawili, vipi kuhusu mirathi na stahiki nyingine za marehemu?
NB: Waajiri walazimishwe kuwakatia bima ya maisha wafanyakazi wao. Ona Sasa familia inaenda kuonja maisha magumu bila kutarajia.
Mfanyakazi wa zamani.Mbona anakua addressed kama staff wa mwamba?
Usikute alikua Hana rindaNdo maana ye mwenyewe akawa anajichubua na kujiita zuchu
Mwingira ni wamatengo hao wa Mbinga, Rivuma. Ila huyu dogo alikuwa anaitwa Mwingila ndiyo nimeshindwa kuelewa anaweza kuwa mpareMwingira ni wapare au wachaga?
Wewe inaonekana hujui kitu chochote na unataka kuwahadaa watu as if unajua sana. In short Yule dogo aliacha kazi toka mwaka jana akajiajiri kwenye mradi wake wa mafuta (hair & body) lotion.Poleni Kwa msiba huu wa Zuchi.
Kamanda akiwa katika majukumu ya kazi kapata ajali, kafariki kaacha watoto wawili, vipi kuhusu mirathi na stahiki nyingine za marehemu?
NB: Waajiri walazimishwe kuwakatia bima ya maisha wafanyakazi wao. Ona Sasa familia inaenda kuonja maisha magumu bila kutarajia.
Na vile hatupo vizuri kwenye kitengo cha forensics si tutakichezea sana .Life insurance ni moja kati ya reasons za juu kabisa za mauaji huko majuu....
Ikija bongo hii wanandoa watauana sana
Even watoto wavivu wataua sana wazazi wao
Imagine..... binafsi ikifika bongo labda iwe kwa lazima, but hiyari NEVER... can never let a person know that he/she will definitely benefit from death by X amount.. no wayNa vile hatupo vizuri kwenye kitengo cha forensics si tutakichezea sana .