crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
Zuchu ndiyo nani?
Huyu hapa
anabebwa wapi wakati takwimu zipo wazi kuwa anafanya vizuri.Unajua huwa kuna gold-plated Bars na Pure gold bar. Haya makitu huwa yanatofautiana thamani.
Huyu binti nimeshaona watu wengi wanalalamikia sana kutoka kwake.
Mwanzo nilihisi kuwa ni chuki tu za haters ila as it goes naanza hata mimi kunotice kuwa she is being overrated na anakuwa anabebwa na promo za kimtandao bila kuproove uwezo kwa utunzi na kuimba kazi nyingi.
Sawa shehe shalifu mtabili, mbona Rihana wa jz amefanikiwa ikiwa yeye pia ametengenezwa kama Zuchu tu.Huyu msanii Kuna stage ameziruka atakuja kuzipitia baadae na majuto kibao wanaomsimamia wanamtengenezea bomu mbeleni
Mzee hao wengine sio wageni wa hizo tunzo ndio maana sijawatajamkuu japo uzi wako ulimkusudia zuchu bt kwa chini ungemalizia kuwamention wasanii wengine wanaowania tuzo hizo
Mziki Ni zaidi ya kuimba tungekuwa tunatoa madaraja kutokana na kijaji wasanii Kama barnaba,Rama Dee,Ben pol wangekuwa top artists zaidi ya Diamond na Alikiba.Kila kitu ni kazi ya wasafi kawatolea wapi hao followers?
Mbona kabla ya wasafi hatukumskia kwengine ama alikuwa hajaanza muziki?
Acha kumfananisha na ruby
Kwa hapa tumeenda sawa hao wamekosa managementMziki Ni zaidi ya kuimba tungekuwa tunatoa madaraja kutokana na kijaji wasanii Kama barnaba,Rama Dee,Ben pol wangekuwa top artists zaidi ya Diamond na Alikiba.
pancho boy Mbona hata harmonize ana talent ndogo mbona WCB walimpromote na akawa mkubwa? Huwezi ukasema msanii anajua Sana lakini tatizo lake Ni management kwani huyo msanii alitumwa kuwa na hiyo management? Au fulani anabebwa kwasababu ya management mziki Ni promo na bila promo ukui na ndio Hali halisi ilivyo huyo Ruby ukimweka na Zuchu mashabiki wengi wataenda kwa zuchu as the same ukimweka pia na nandy fans wataenda kwa nandy je jiulize Kwanini ana power ya convince mashabiki japo ana kipaji kikubwa?Kwa hapa tumeenda sawa hao wamekosa management
Lakini je unapinga kwamba zuchu ana kipaji kuliko ruby?
Management yenye ndo itapush mziki wako na kipaji chako kidogo
Mm mpaka nmepgwa na butwaaAiseee tuzo zimeshuka hadhi
Umeanza pumba hivi show zake ruby unaziangaliag kweli?Mbona hata harmonize ana talent ndogo mbona WCB walimpromote na akawa mkubwa? Huwezi ukasema msanii anajua Sana lakini tatizo lake Ni management kwani huyo msanii alitumwa kuwa na hiyo management? Au fulani anabebwa kwasababu ya management mziki Ni promo na bila promo ukui na ndio Hali halisi ilivyo huyo Ruby ukimweka na Zuchu mashabiki wengi wataenda kwa zuchu as the same ukimweka pia na nandy fans wataenda kwa nandy je jiulize Kwanini ana power ya convince mashabiki japo ana kipaji kikubwa?
Hebu acha kumfananisha Ruby naUmeanza pumba hivi show zake ruby unaziangaliag kweli?
Aseme yeye ndio ataend kwa zuchu, watu wenye akili wataenda kwa rubbyUmeanza pumba hivi show zake ruby unaziangaliag kweli?
Trash 🚮🚮Huyu msanii Kuna stage ameziruka atakuja kuzipitia baadae na majuto kibao wanaomsimamia wanamtengenezea bomu mbeleni
Sasa wewe ulitakaje?Zuchu yupo pale alipo sababu ya WCB tu... Kama angepita walipopita kina rubby bado safari yake ingekuwa ndefu sana
Tupia show yoyote ya Ruby ambayo kajaza angalau watu 1000 yakeUmeanza pumba hivi show zake ruby unaziangaliag kweli?
Kwani ruby Ni jirani yako ndio ukamjua?Kila kitu ni kazi ya wasafi kawatolea wapi hao followers?
Mbona kabla ya wasafi hatukumskia kwengine ama alikuwa hajaanza muziki?
Acha kumfananisha na ruby
Ruby Yuko wapi? Kubali kataa bila kupushiwa huwezi kutoboa Kama kipaji pekee ndio kinakuinua Basi ainuke mwenyewe, we unaona mpk country boy anaenda konde gang unadhani Hana kipajiZuchu yupo pale alipo sababu ya WCB tu... Kama angepita walipopita kina rubby bado safari yake ingekuwa ndefu sana
Fact wanapenda mzk af kusupport hawawezimashabiki wa ruby ni kama wa tamaduni music tu