sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Wewe ulishawishiwa na Zuchu kutoa tigo au ni malezi mabaya yalikuingiza uko?Kiki tu
Baada ya hapo ataendelea kushawishi wenzie watoe tigo na kuvaa ovyo
Wewe ni mkamilifu mpaka unakuwa hakimu wa maisha ya watu? Wewe ndio mnafkiWanafiki bwana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]hadi Mungu tunamnafikia.Akifungulia anaanza kuimba hata wampe samvu ama anatoa samvu kwa jamaa
Kufunga ni toba, sasa inakuwaje unatubu ukijua utarudia matendo yaleyaleeView attachment 2933690
Habari za hivi punde ni kwamba mwanamuziki namba moja wa kike East Africa, Zuchu aka Zuu amejitoa Instagram.
Amefanya hivyo kwa ajili ya kufanya ibada mwezi huu wa Ramadhan ambao Zuchu ni binti wa kiislam anaependa sana kufanya ibada na ndio aliombadilisha Diamond kuwa mtu wa kufanya ibada sana.
Sisi watanzania tunamtakia mfungo mwema wa Ramadhan aendelee kuepuka vishawishi haswa vya wanaotafuta kiki ndani ya mwezi huu ili waongelewe na kukwaza wengine.
Wewe ulishawishiwa na Zuchu kutoa tigo au ni malezi mabaya yalikuingiza uko?
habari yako binti yanguMaamuzi sahihi
Kufunga ni kila mwaka na wanarudia matendo Yao maovu kila mwaka.Kufunga ni toba, sasa inakuwaje unatubu ukijua utarudia matendo yaleyalee
Njema,salama? Mi nipo sad leo Baba 😒habari yako binti yangu