Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
shida nini tena..nani mchokoziNjema,salama? Mi nipo sad leo Baba 😒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shida nini tena..nani mchokoziNjema,salama? Mi nipo sad leo Baba 😒
Inasikitisha sana kwa kweliHuu mfungo ni msimu wa sanaa za watu kufamfanyia unafki Mungu wao, watajikaza na kujibana wasiweze kufanya dhambi ndani ya hiki kipindi.
Yani hawafanyi maovu sio kwa malengo ya kuacha kabisa dhambi bali ni kwa kipindi kifupi tu kisha baada ya hapo wanaamini wako free kuendelea na ufuska.
Watu wanautumia mwezi mtukufu kama temporary ya wao kupumzika kufanya maovu yao tu.
Na samvu aache kutoa sasa.View attachment 2933690
Habari za hivi punde ni kwamba mwanamuziki namba moja wa kike East Africa, Zuchu aka Zuu amejitoa Instagram.
Amefanya hivyo kwa ajili ya kufanya ibada mwezi huu wa Ramadhan ambao Zuchu ni binti wa kiislam anaependa sana kufanya ibada na ndio aliombadilisha Diamond kuwa mtu wa kufanya ibada sana.
Sisi watanzania tunamtakia mfungo mwema wa Ramadhan aendelee kuepuka vishawishi haswa vya wanaotafuta kiki ndani ya mwezi huu ili waongelewe na kukwaza wengine.
kunywa maji mengi alafu pumzika..sema muda umenda ningetoka tufanye matembezi ya mguu huku tukifanya maongezi😭😭😭nipo emotional for no reasons ...
hahahaAna waona ana waona..............
🙏🏽Nakupenda,Mwenyezi Mungu akubariki sana ...Asante sanakunywa maji mengi alafu pumzika..sema muda umenda ningetoka tufanye matembezi ya mguu huku tukifanya maongezi
namni ungekua sawa
Sawa lakini haya ya hivi ya kupania na kupangilia ndiyo maana kuna ukanda fulani kitoweo kimedoda kwasasa kwanini wasijutie badala ya kukivutia kasi baada ya siku kadhaa zijazo?Kufunga ni kila mwaka na wanarudia matendo Yao maovu kila mwaka.
Kufunga ni kila mwaka na wanarudia matendo Yao maovu kila mwaka.
🤣🤣🤣Breaking News sio?
NCHI HII WAKIHESABIWA WANAOJIELEWA NI WACHACHE SANA.
PambanaZaidi/CottonandMore