Zuchu ajitoa kwenye mtandao wa Instagram

Inasikitisha sana kwa kweli
 
Na samvu aache kutoa sasa.
 
Eti breaking newsπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚lmao
 
Kufunga ni kila mwaka na wanarudia matendo Yao maovu kila mwaka.
Sawa lakini haya ya hivi ya kupania na kupangilia ndiyo maana kuna ukanda fulani kitoweo kimedoda kwasasa kwanini wasijutie badala ya kukivutia kasi baada ya siku kadhaa zijazo?
 
Mwezi ukiisha wanaendelea kuonesha nyuchi majukwaani?

Watu wa dini ni wanafiki sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…