Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Rayvan na zuchu ni nyimbo mbaya kama nyuma ya fridgeHabarini Wana jamvi..?
natumai my wazima wa afya.
nimejaribu kufuatilia kwa makini sumu ambayo ana mezeshwa nandy, kwa official new queen wetu wa bongo flavor one and only Zuchu.
nimegundua kuwa anamuwza snaa Zuchu kuliko hata billnass na kwa maana hii Basi amejiingiza mkenge mwenyewe na anaenda kufuria soon mara harmonize Mara alikiba anaomba collabo tu na Wala hazina maajabu.
na kibaya zaidi nandy sio full package Kama zuchu ambaye anaweza kuandika mwenyewe nyimbo zake.
Yaani kwa huu wimbo au utopolo wa kiwango Cha lami/PhD/HD na Sgr[emoji23][emoji23][emoji23] Sina lakusema.
N. B:
NUMBER ONE Rayvanny and ft zuchu ni Kali sana kuliko NIBAKISHIE ya nandy ft kibamia[emoji31][emoji31][emoji31]
umeonaeee... izi ndo zile ww unatarajia kufikia sehemu fulan kumbe mwenzako yeye ndo anaanzia mi naona zuchuHivi kumbe kuna watu wanaelewa anachokiimba zuchu!!???
Aisee mi sijawahi kumuelewa,laiti kama asingekuwa WCB,yaani angeanza muziki kama underground aaah angesota sana
Ila ndo mambo ya konektiviti konekshionale
sawa pumbuZuchu hamna kitu, ni utopolo aliyechangamka tu.
Iweke vizuri, ni muda wake kutafunwa na lile Simba zee![emoji23][emoji23]
ok cereals don't hate learn to appreciateYou're so consumed with how much you get
You waste your time with hate and regret
You're broken
When your heart's not open
sawa pumbavu mkubwaHivi kumbe kuna watu wanaelewa anachokiimba zuchu!!???
Aisee mi sijawahi kumuelewa,laiti kama asingekuwa WCB,yaani angeanza muziki kama underground aaah angesota sana
Ila ndo mambo ya konektiviti konekshionale
Bruh nyimbo ya nandi ndo kali kuliko, sema kaharibu kumshirikisha kiba kwa sababu kiba nyota yake saiz ipo chini kidogoHabarini Wana jamvi..?
natumai my wazima wa afya.
nimejaribu kufuatilia kwa makini sumu ambayo ana mezeshwa nandy, kwa official new queen wetu wa bongo flavor one and only Zuchu.
nimegundua kuwa anamuwza snaa Zuchu kuliko hata billnass na kwa maana hii Basi amejiingiza mkenge mwenyewe na anaenda kufuria soon mara harmonize Mara alikiba anaomba collabo tu na Wala hazina maajabu.
na kibaya zaidi nandy sio full package Kama zuchu ambaye anaweza kuandika mwenyewe nyimbo zake.
Yaani kwa huu wimbo au utopolo wa kiwango Cha lami/PhD/HD na Sgr[emoji23][emoji23][emoji23] Sina lakusema.
N. B:
NUMBER ONE Rayvanny and ft zuchu ni Kali sana kuliko NIBAKISHIE ya nandy ft kibamia[emoji31][emoji31][emoji31]
Umekubali kubwa jinga...kifupi zuchu anaimba kama underground.!sawa pumbavu mkubwa
sawa hater, but number one ni smash hit ya 2020Rayvan na zuchu ni nyimbo mbaya kama nyuma ya fridge
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeongea pumba za kiwango Cha SGR/PHD na HD , ZUCHU ni QUEEN WETUumeonaeee... izi ndo zile ww unatarajia kufikia sehemu fulan kumbe mwenzako yeye ndo anaanzia mi naona zuchu
amn kitu maana awa wasanii wanaoanza day one YouTube tayari ipo kwenye trend n kutokana na kuwa na watu wakubwa ,
maana ata tifah kwenye mitandao ni maarufu kuliko nandy ila kiuhalisia tifah si katoto akana kitu bado ,so nandy anfight na kitu kinaonekna
zuchu yeye promo ya watu 10mill instagram tu tayari ni mzigo kwa nandy, ok tuaache post za platnumz insta , management yake ilimlipia matangazo yake
kuanzia fb mpaka YouTube kwenyew .
conclusion sikuiz it's like mziki ni kufikia watu wengi sio kua mzur huenda wengi hawamkubali zuchu sema n vile kila kona wanamsikia ila nandy ana nafasi yake... kutoa nyimbo kwa pupa ni lazima ndo maisha yake lazma apambaniie asije akaanguka...
sometimes appreciate juhudi za mwenzako
sijakuelewa Sasa Kama nyimbo ni Kali kwanini kaharibu, ujue hamna kitu maana mpaka atafute wa kumtungia.Bruh nyimbo ya nandi ndo kali kuliko, sema kaharibu kumshirikisha kiba kwa sababu kiba nyota yake saiz ipo chini kidogo
sawa kaka , hater mkubwa zuchu to the world [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umekubali kubwa jinga...kifupi zuchu anaimba kama underground.!
ZUCHU QUEENAisee!
iv kijana unapata wapi nguvu ya kuongea vituko vya namna hii et zuchu ni queen wetu ππππππ em ni log out kbsa maana hizi ni kauli nlitegemea ntazionaga tu Facebook ππππππππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeongea pumba za kiwango Cha SGR/PHD na HD , ZUCHU ni QUEEN WETU
Ndio wanaume wa dar hao..mwanaume anaweza hata kudondosha chozi kisa zuchu na Mara nyingi utawakuta saluni za kike au hata za kiume wanavyobishana kati ya zuchu na nandyiv kijana unapata wapi nguvu ya kuongea vituko vya namna hii et zuchu ni queen wetu ππππππ em ni log out kbsa maana hizi ni kauli nlitegemea ntazionaga tu Facebook ππππππππ