Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Hivi kumbe kuna watu wanaelewa anachokiimba zuchu!!???
Aisee mi sijawahi kumuelewa,laiti kama asingekuwa WCB,yaani angeanza muziki kama underground aaah angesota sana
Ila ndo mambo ya konektiviti konekshionale
Aisee mi sijawahi kumuelewa,laiti kama asingekuwa WCB,yaani angeanza muziki kama underground aaah angesota sana
Ila ndo mambo ya konektiviti konekshionale