maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
yaaani ingekaa poa angesimama alonesijakuelewa Sasa Kama nyimbo ni Kali kwanini kaharibu, ujue hamna kitu maana mpaka atafute wa kumtungia.
ata sijaelewa kitu mara 1M views mara audio mara rayvan na nandy mar ruge, mara kukaa uchi, mara vanessa mdee, waiBinafsi mi sioni na wala sijawah elewa uimbaji wa nandy, nikiri Tu waz Nandy yupo overrated kulingana na utunzi wake wa mashairi wa kubahatisha Sana nyimbo zake ambazo angalau angalau kumbe huwa anaenda kupora THT
...kuhusu promo wote wapo balanced , istoshe media zote kubwa zipo upande wa Nandy mpaka Konde gang, lakn bado yupo under high pressure against well organized Zuchu,....Nachokiona Zuchu yupo kijanja zaidi , ngeli safi , amechangamka na mashairi yapo , wimbo na Rayvanny huo ndo wimbo mkali kat ya nyimbo zilizotoka this wiki , na hiyo ndo style ya nyimbo wabongo wanapenda tusidanganyane ndo mana unaelekea view 1milion Kwa sku tatu na ni audio tuu...
WCB huwa wanawapush wasanii wao kbao ila kipaji ni kipaji tuu somtyme promo inaweza isikusaidie ...haya kuna Lava lava , qeen darling, na huyo kaka yake Diamond si ni wasanii na wao mbna hawajapaa kama Zuchu na promo ni Ile Ile .....
Na huu wimbo alioshirikishwa na Rayvanny utampaisha Sana tena Zuchu maana kaua mle , Ruge mwenyewe alitamani Nandy atoe ngoma na Rayvanny bas Tu kigingi ni WCB ....
Watanzania ukitaka wa kusome toa ngoma za hsia , madenso madenso Tu na kukaa kaa uchi mwisho wa sku wanakuacha kwenye mataa unakuwa kama vannesa mdee
Chukua Tu kimoja kinachokuhusu, vingine vinawahusu wengne .ata sijaelewa kitu mara 1M views mara audio mara rayvan na nandy mar ruge, mara kukaa uchi, mara vanessa mdee, wai
inshot ni kutoa maoni/mawazo yako ila umehusisha vitu vingi ata havikua na ulazima...
Labda to the world ya kibondosawa kaka , hater mkubwa zuchu to the world [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona hilo iko wazi mama angu?Hivi we kigoma independent na innocent dependent ni mtu mmoja? Samahani lakini mkuu nauliza tu
fact maana mziki mzuri upo WCB tuKatika wanamuziki fake na wanaolazimisha muziki Jux na Bill Nas kwa kweli wanaongoza, kuimba hawajuwi wapo tu wanalazimisha.
huo ndo ukweliiv kijana unapata wapi nguvu ya kuongea vituko vya namna hii et zuchu ni queen wetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28] em ni log out kbsa maana hizi ni kauli nlitegemea ntazionaga tu Facebook [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
fact zuchu wa MotoDuh basi sawa shostito wetu ..piga kelele kwa zuchu aaaaakeeee
kwani sio wasanii pumbavuNdio wanaume wa dar hao..mwanaume anaweza hata kudondosha chozi kisa zuchu na Mara nyingi utawakuta saluni za kike au hata za kiume wanavyobishana kati ya zuchu na nandy
factyaaani ingekaa poa angesimama alone
fact zuchu mule kaua sana kuliko nandy kwenye song yake mpyaBinafsi mi sioni na wala sijawah elewa uimbaji wa nandy, nikiri Tu waz Nandy yupo overrated kulingana na utunzi wake wa mashairi wa kubahatisha Sana nyimbo zake ambazo angalau angalau kumbe huwa anaenda kupora THT
...kuhusu promo wote wapo balanced , istoshe media zote kubwa zipo upande wa Nandy mpaka Konde gang, lakn bado yupo under high pressure against well organized Zuchu,....Nachokiona Zuchu yupo kijanja zaidi , ngeli safi , amechangamka na mashairi yapo , wimbo na Rayvanny huo ndo wimbo mkali kat ya nyimbo zilizotoka this wiki , na hiyo ndo style ya nyimbo wabongo wanapenda tusidanganyane ndo mana unaelekea view 1milion Kwa sku tatu na ni audio tuu...
WCB huwa wanawapush wasanii wao kbao ila kipaji ni kipaji tuu somtyme promo inaweza isikusaidie ...haya kuna Lava lava , qeen darling, na huyo kaka yake Diamond si ni wasanii na wao mbna hawajapaa kama Zuchu na promo ni Ile Ile .....
Na huu wimbo alioshirikishwa na Rayvanny utampaisha Sana tena Zuchu maana kaua mle , Ruge mwenyewe alitamani Nandy atoe ngoma na Rayvanny bas Tu kigingi ni WCB ....
Watanzania ukitaka wa kusome toa ngoma za hsia , madenso madenso Tu na kukaa kaa uchi mwisho wa sku wanakuacha kwenye mataa unakuwa kama vannesa mdee
vinaulazima but wewe ni hater that's why haukuelewaata sijaelewa kitu mara 1M views mara audio mara rayvan na nandy mar ruge, mara kukaa uchi, mara vanessa mdee, wai
inshot ni kutoa maoni/mawazo yako ila umehusisha vitu vingi ata havikua na ulazima...
factChukua Tu kimoja kinachokuhusu, vingine vinawahusu wengne .
..
zuchu our new queen in bongo flavorLabda to the world ya kibondo
atoe but asitembelee upepoq wa zuchu sawaAti juma lokole bwabwaaa kwa iyo nandy asitowi sio ?? [emoji23][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
acha mikwara ni watu wawili tofauti kabisaMbona hilo iko wazi mama angu?
unataka nikuajiriHivi innocent dependent umekosa kazi dogo?