Zuchu akitoa wimbo na Nandy anatoa...? Basi ameingia mkenge

mkuu Kigoma... ni kama vile una posho maana sio kwa kumtetea huko, af pia sio kwasababu
wewe unamkubali sana basi ndio queen kama unavosema...
 
Ungetuliza kichwa na ukaweka ushabiki pembeni nadhani ungeandika uzi mzuri sanaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…