Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Kwahiyo kajikondesha hadi manyonyo? Maana naona hana titiz 😁Huyu Ni mnene kiasili,
Mwangalie mama yake khadija
Mwangalie zuchu Kichwa na mashavu,
Haviendani kabisa na sehem nyngn za mwili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo kajikondesha hadi manyonyo? Maana naona hana titiz 😁Huyu Ni mnene kiasili,
Mwangalie mama yake khadija
Mwangalie zuchu Kichwa na mashavu,
Haviendani kabisa na sehem nyngn za mwili
Nimeona mdogo wangu 😃 naona tamuuuu alinimissKwamba hujaona unatafutwa?
tamuuuuu umemuona mtu wakoNimeona mdogo wangu 😃 naona tamuuuu alinimiss
May day May day...Kama mleta mada ni mwanaume, basi itoshe kusema "mwendo umeumaliza".
Man down, i repeat man down!
Bravo do you copy?
Cobra One reporting, do you read me?Kama mleta mada ni mwanaume, basi itoshe kusema "mwendo umeumaliza".
Man down, i repeat man down!
Bravo do you copy?
Alafu utakuta aliyeanzisha hii thread ni mwanaume. Mungu atusaidie kwa kweli japo umeandika kwa hisia na uchungu sana.Hata kama ni celeb,ndio tujadili asili ya unene/uwembamba wake kweli??!
Mchepuko wako anasemaje kwa hilo? Vipi zile elfu tano tano anazichukua siku hizi au bado hachukui!😁😁😁👊Huyu Ni mnene kiasili,
Mwangalie mama yake khadija
Mwangalie zuchu Kichwa na mashavu,
Haviendani kabisa na sehem nyngn za mwili
Majibu kamili utayapata siku akibahatika kupata mtoto/watoto wake wa kuwazaa yeye mwenyewe.View attachment 2343528
Wapinzani wake wanasema kuwa anatumia juhudi nyingi sana za mazoezi na kujizuia kula ili asinenepe. Kweli ni mnene anayejikondesha ama ni kimbau mbau wa asili?
Copy. Sending reinforcements. I repeat, sending reinforcements.Kama mleta mada ni mwanaume, basi itoshe kusema "mwendo umeumaliza".
Man down, i repeat man down!
Bravo do you copy?
Nandy alikuwaga 1 sa hivi ni bonge😀😀ukitaka kumuona alivyokuwa 1 kacheck video yake na bright au inspector HarounView attachment 2343528
Wapinzani wake wanasema kuwa anatumia juhudi nyingi sana za mazoezi na kujizuia kula ili asinenepe. Kweli ni mnene anayejikondesha ama ni kimbau mbau wa asili?
Rihanna kawa mzuri mno baada ya kuzaaKuzaa ndo komesha labda afanye sajari,, mfano mzuri rihana
Ninezungumzia unene sio uzuri ai ubayaRihanna kawa mzuri mno baada ya kuzaaView attachment 2355676