mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
SanaDogo mwaka wake huu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kataanzisha Zuchu Gang nako.
Exactly.Wcb ndo assist yake, bila support yao asingeweza
Fid QHivi nani anapumzika hapo wakuu..!?[emoji12][emoji12]
Mondi angekuwa na mtizamo huo hasinge anzisha label au labda hao wasanii wengine wenye label kila siku wanataka kuwa wao juu kuliko wasanii wao, wamewalundika kibao na hawakui.Team mond hamtaki kuona baba yenu anazidiwa au sio.?
Ila fresh
Kuna mond mwenyewe halafu kuna team mond.mond kama mond sio mswahili kiivyo.Mondi angekuwa na mtuzamo huo hasingeanzisha label au labda hao wasanii wengine wenye label kila siku wanataka kuwa wao juu kuliko wasanii wao, wamewalundika kibao na hawakui.
Ndiye msanii pekee husimamisha mpaka projects zake kwa mda na kutumia nguvu zake zote kumpromoti msanii na ndio maana wasanii waliokuwa chini ya label yake 80% wanafanya vizuri.
Hakuna mtu anayependa record yake ivunjwe, ni nature ya binadamu ubinafsi na wivuMondi angekuwa na mtuzamo huo hasingeanzisha label au labda hao wasanii wengine wenye label kila siku wanataka kuwa wao juu kuliko wasanii wao, wamewalundika kibao na hawakui.
Ndiye msanii pekee husimamisha mpaka projects zake kwa mda na kutumia nguvu zake zote kumpromoti msanii na ndio maana wasanii waliokuwa chini ya label yake 80% wanafanya vizuri.
Husifananishe roho yako na roho za wengine kama una roho hiyo ni wewe.Hakuna mtu anayependa record yake ivunjwe, ni nature ya binadamu ubinafsi na wivu
Sadala ndiye artist pekee Tanzania anayetumia nguvu, akili na maarifa wholeheartedly kuhakikisha wasanii wake wanafika level za juu, mifano iko wazi na matokeo yako obvious.Mondi angekuwa na mtuzamo huo hasingeanzisha label au labda hao wasanii wengine wenye label kila siku wanataka kuwa wao juu kuliko wasanii wao, wamewalundika kibao na hawakui.
Ndiye msanii pekee husimamisha mpaka projects zake kwa mda na kutumia nguvu zake zote kumpromoti msanii na ndio maana wasanii waliokuwa chini ya label yake 80% wanafanya vizuri.