Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
MimiHivi nani anapumzika hapo wakuu..!?😜😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MimiHivi nani anapumzika hapo wakuu..!?😜😜
Hawalioni hilo.Sadala ndiye artist pekee Tanzania anayetumia nguvu, akili na maarifa wholeheartedly kuhakikisha wasanii wake wanafika level za juu, mifano iko wazi na matokeo yako obvious.
Wasanii wa labels nyingine wapo wapo tu mpaka inasikitisha, wamiliki wengine wa labels sijui ni kuwabania kwa kuogopa kuzidiwa au ni kwamba wanawa'sign ili mradi tu waonekane wana wasanii.
Akijibu hili nitagWcb ndo assist yake, bila support yao asingeweza
Kwa strategies za Rayvanny... naamini msanii wake wa kwanza atakuwa mkubwa kama Zuchu kwa muda mfupi.Sadala ndiye artist pekee Tanzania anayetumia nguvu, akili na maarifa wholeheartedly kuhakikisha wasanii wake wanafika level za juu, mifano iko wazi na matokeo yako obvious.
Wasanii wa labels nyingine wapo wapo tu mpaka inasikitisha, wamiliki wengine wa labels sijui ni kuwabania kwa kuogopa kuzidiwa au ni kwamba wanawa'sign ili mradi tu waonekane wana wasanii.
Sasa label kazi yake nini.Akijibu hili nitag
Ndio kazi ya label, sio unawakusanya wasanii kibao, kumpromoti unashindwa mwisho kinakuwa kama kijiwe cha wahuni.Wcb ndo assist yake, bila support yao asingeweza
Nakumbuka vizuri hawa wakati diamond anampromoti Zuchu walisema Zuchu anaimba taarabu Hana kipaji chochote diamond anatumia nguvu zake bure sijui sasa hivi wamesahau?Ndio kazi ya label, sio unawakusanya wasanii kibao, kumpromoti unashindwa mwisho kinakuwa kama kijiwe cha wahuni.
Kila siku wewe unataka kutoa nyimbo wasanii wako huwapi nafasi hata ya kuwapromotia kazi zao.
chiku mbalanga sukari yaoHivi nani anapumzika hapo wakuu..!?[emoji12][emoji12]
Upo sahihi.Ndio kazi ya label, sio unawakusanya wasanii kibao, kumpromoti unashindwa mwisho kinakuwa kama kijiwe cha wahuni.
Kila siku wewe unataka kutoa nyimbo wasanii wako huwapi nafasi hata ya kuwapromotia kazi zao.
Alipambana nae sana. Alimtambulisha kipindi korona inaingia hakuna show alimpigania kwenye mitandao. Enzi za kujifukiza, vitunguu na malimau.Nakumbuka vizuri hawa wakati diamond anampromoti Zuchu walisema Zuchu anaimba taarabu Hana kipaji chochote diamond anatumia nguvu zake bure sijui sasa hivi wamesahau?
Ya zuchu itazipita hizo sabb inamiezi saba 7 tuuhMond ana nyimbo binafsi mbili ambazo zipo juu ya sukari (48M+) wa Zuchu kwa views
~Sikomi views 51M+
~Jeje views 54M+
So huyu Zuchu apambane haswaaa! Huyu ndo anayeweza kumchallenge mond kwa sasa... Yupo kwenye peak kama aliyokuwepo harmonize mwaka wa mwisho kabla ya kuondoka wasafi ambayo ilimfanya avimbe na kwenda kujitegemea
bado japo amekaribia, jeje ina 56mSukari zuchu 55milion, record broke
Truebado japo amekaribia, jeje ina 56m
Haya.. now mambo yapoje?bado japo amekaribia, jeje ina 56m
Na mkwanja mrefu unarudi kwa mondi...nyie endeleeni kushangilia zuchu kamzidi mondi. Mondi ashasemaga yeye babalaoMsanii Zuchu ametoa wimbo wake wa sukari akiwa yeye peke yake na ndani ya miezi sita una views milioni 47.9, huku sikomi Diamond ina views mil 51 miaka mitatu, Sasa hizi ndio nyimbo zenye views wengi kwa wasanii bila assist/featuring, kwa hiyo Zuchu anaenda weka record ambayo sidhani Kama Kuna Mtanzania yeyote ataivunja yaani wimbo wenye views wengi kwa mtanzania akiwa peke yake bila pasi
Diamond na Nandy inabidi wamuheshimu Sana Zuchu amewazidi kwakweli