So what?Msanii wa kizazi kipya Zuchu amekuwa akipata Mafanikio kwenye mziki tokea alivyotambulishwa kwenye industry ya Muziki na Jana amesaini kuwa balozi ya kampuni kubwa ya vipodozi ya nchini Tanzania Tridea cosmetics.
Baada ya hiyo deal msanii Zuchu ametoa shukrani kwa mashabiki "Nashukuru Sana mashabiki kwa kunisapoti na kuwa sehemu ya Mafanikio yangu lakini pia nashukuru pia Tridea cosmetics kwa kuniamini kutangaza bidhaa zenu,Nitajitoa kutangaza kea kiasi kikubwa"
Hit song yake inaitwa "wapinzani watetereke"Duh,hivi zuchu kaimba wimbo gani?
Maana huyo zuchu naona thread zake nyingi ila sijawahi kumuona
huyu dogo inno kashapata ubalozi wa kumpeti-peti mama yake Mond.Wewe utapata lini ?
Swali la ngumi.So what?
Kumbe ni demu wa Ccm?Hit song yake inaitwa "wapinzani watetereke"
KUm
Daudi Mchambuzi bado maumivu hayajapona ?Hit song yake inaitwa "wapinzani watetereke"
sasa mimi ni mpinzani na msanii niliyekua namshabikia ananiombea ni tetereke, maumivu yatapona vipi labda kwa mfano??Daudi Mchambuzi bado maumivu hayajapona ?
Usipende Sana kuruhusu akili yako iwaze Sana siasa utashindwa kufanya mambo yako ya msingi.sasa mimi ni mpinzani na msanii niliyekua namshabikia ananiombea ni tetereke, maumivu yatapona vipi labda kwa mfano??
Ndio mimi, daily naskia Zuchu Zuchu lakini sijui ni kitu gani hataDuh,hivi zuchu kaimba wimbo gani?
Maana huyo zuchu naona thread zake nyingi ila sijawahi kumuona
Wanakapa kiki ka carton chaoWe
Ndio mimi, daily naskia Zuchu Zuchu lakini sijui ni kitu gani hata
My be nyota inawakaWanakapa kiki ka carton chao
Mhm kwa hiyo wewe ni Mugah?We
Ndio mimi, daily naskia Zuchu Zuchu lakini sijui ni kitu gani hata
Kitu na box hicho mzeeMhm kwa hiyo wewe ni Mugah?
Kikuumizacho kipi?Mhm kwa hiyo wewe ni Mugah?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Akianza kutema mate [kulamba ndimu] mnistue!