Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
akili yangu inatakiwa iwaze Wasafi Classic Baby??Usipende Sana kuruhusu akili yako iwaze Sana siasa utashindwa kufanya mambo yako ya msingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akili yangu inatakiwa iwaze Wasafi Classic Baby??Usipende Sana kuruhusu akili yako iwaze Sana siasa utashindwa kufanya mambo yako ya msingi.
Me sijakuambia uwaze Wasafi hiv huna mishemishe ?akili yangu inatakiwa iwaze Wasafi Classic Baby??
sina mishemishe, nina mishemishemishemishe.Me sijakuambia uwaze Wasafi hiv huna mishemishe ?
Duh,hivi zuchu kaimba wimbo gani?
Maana huyo zuchu naona thread zake nyingi ila sijawahi kumuona
Ungekuwa unavitu vingi vya kukeep bize usingekuwa unashabikia mambo ya vyamasina mishemishe, nina mishemishemishemishe.
Yaani ni nyingi mnoo na ndiyo maana silali sebuleni kwa shemeji kama wewe.
nina vitu vya kufanya na kimoja wapo ni kufatilia maswala ya siasa kwa ukaribu mnooUngekuwa unavitu vingi vya kukeep bize usingekuwa unashabikia mambo ya vyama
Daudi Mchambuzi binafsi wanaoshabikia vyama ninawaona mazezetanina vitu vya kufanya na kimoja wapo ni kufatilia maswala ya siasa kwa ukaribu mnoo
"Wapinzani watetereke" by Chuchu sijui zuchuDaudi Mchambuzi binafsi wanaoshabikia vyama ninawaona mazezeta
So hapo unaumia Nini?"Wapinzani watetereke" by Chuchu sijui zuchu
Ubalozi wa Emirates Airlines?Msanii wa kizazi kipya Zuchu amekuwa akipata Mafanikio kwenye mziki tokea alivyotambulishwa kwenye industry ya Muziki na Jana amesaini kuwa balozi ya kampuni kubwa ya vipodozi ya nchini Tanzania Tridea cosmetics.
Baada ya hiyo deal msanii Zuchu ametoa shukrani kwa mashabiki "Nashukuru Sana mashabiki kwa kunisapoti na kuwa sehemu ya Mafanikio yangu lakini pia nashukuru pia Tridea cosmetics kwa kuniamini kutangaza bidhaa zenu,Nitajitoa kutangaza kea kiasi kikubwa"
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwanzake Dr. Silaha amepata ubalozi wa kuwakilisha nchi Sweden, yeye anapewa ubalozi wa maandazi. Sio haki kabisa.
😳 😳 😳Mwanzake Dr. Silaha amepata ubalozi wa kuwakilisha nchi Sweden, yeye anapewa ubalozi wa maandazi. Sio haki kabisa.