Zuchu apata dili nono la ubalozi

sina mishemishe, nina mishemishemishemishe.
Yaani ni nyingi mnoo na ndiyo maana silali sebuleni kwa shemeji kama wewe.
Ungekuwa unavitu vingi vya kukeep bize usingekuwa unashabikia mambo ya vyama
 
Hongera chuchu in baba jesca's voice
 
Nilikuwa simjui kabisaa hii nchi inawasanii wengi.

Thread yenyewe imenistua nilidhani Kala shavu la ubalozi ubelgiji!
 
Ubalozi wa Emirates Airlines?
 
Mwanzake Dr. Silaha amepata ubalozi wa kuwakilisha nchi Sweden, yeye anapewa ubalozi wa maandazi. Sio haki kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…