Zuchu ataweka rekodi mpya kwenye project yake mpya ya 4-4-2

Zuchu ataweka rekodi mpya kwenye project yake mpya ya 4-4-2

View attachment 2277532

Zuchu anaenda kuachia project mpya ya 4-4-2.

Kama kawaida queen huyu wa bongofleva na msanii namba moja wa kike Africa mashariki na kati anaenda kuandika rekodi mpya kama kawaida yake.

Huyu mtoto ni wamoto sana na anaubeba kwa mikono miwili muziki wetu wa Africa mashariki ndio maana sina shaka anaenda kuandika rekodi mpya mbali na rekodi mbalimbali alizoandika tayari.

Ikitokea asiandike rekodi yoyote mpya basi mniite mbwa mtanikuta sinza kwa remmy nimekaa.
Tunajua maana katangaza kwamba na yeye atamzalia yupe kahaba me wa Dar
 
Bado masaa machache mkuu vuta subira uone moto wa Zuchu.

Tuzo ya BET tunayo moja ipo Wasafi pale
Tuzo aliyopewa Diamond ni ya Best International Act
Tunataka wanamuziki waliotulia, wanatunga mashairi na kuimba ili kuipeperusha bendera ya Tanzania. Hatuitaji wanamziki wanaishi kisanii saniii kwa kiki nyingi lakini kazi zao mbovu. .

WCB bado hawajafikia na hawajapata hiyo tuzo. Kawaambie waache usanii wa maigizo mengi waimbe. Unamuita mtu mwanamziki hawezi hata fanya LIVE PERFORMANCE 🤣
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Zuchu anaenda kuwaunguza na fire fire fire [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shoga angu usijichoshee hata, huyo Zuhura wako hana maajabu na hakna mwenye shobo nae. Lol
 
Niko naisikiliza hii fire...kweli ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom