Zuchu aweka rekodi mpya Afrika kwa wasanii wa kike wa muziki

Zuchu aweka rekodi mpya Afrika kwa wasanii wa kike wa muziki

😀 😀 😀 😀
Nazingua tu mkuu, hata mimba ya kusingiziwa sijabahatika bado. Bado twala sukari kidogo.


Safi sana, usiharakishe.. Kitu kama unataka mtoto chagua mwenzako ambaye mko na mlengo mmoja basi. Kwanza fall in love baadae huyu ndio awe mama watoto. Anything about this issue DM me
 
Hivi huu wimbo watu wanaupendea nini? Naona ni wimbo wa kiwango cha kawaida sana. Yaani mimi naupa 5/10. Au ndo nimeanza kuzeeka mapema hivi...!
Nilidhani nipo peke yangu. Baada ya kuina promo na comments mitandaoni nilazimika kuusikiliza ingawa huwa sisikikizi hizo nyimbo.
Baada ya kuusikiliza nikadhani labd siyo wenyewe, baadaye nikatafute nyimbo zake nyingine mbili tatu ili niufananishe. Nilichogundua kati ya nyimbo zake nilizo lazimika kuzisikiliza basi huobSukari ndiyo wimbo mbovu kuliko zote.
Mpaka sasa najihisi labda mimi nii alien
 
Uzuri wa huu wimbo ni kuwa umeshiba mashairi, manzi hajababaisha hata kidog , unavutia kusikiliza na unavutia kuchezeka , na style tofaut tofaut zenye ladha with magnificent tone , wimbo wa namna hii lazima upendwe tuuu, tatizo wasanii wengi huwa hawana mashairi , wanaimbia jina na vitu hata havieleweki eleweki mashairi mepesi na hamna ubunifu Ila wanatembelea jina , lazima wasande tuu...

Huu wimbo Diamond hajatumia nguvu yyte hata kuupush , umetambaa wenyewe tuu , kizur chajiuza jaman , huyu binti huu wimbo kaimba na ni nadra Sana sa hv kupata nyimbo za namna hii.....

Nakumbukia Samboira by Ben Paul
Siachani nawe by Baracka the Prince
Niambie by Harmonize
Mwana by Ali kiba
Ukimwona by Diamond N.K
Nyimbo ambazo zilitambaa Tu Kwa sababu wasanii waliimba , na nyimbo zilishiba mashairi
 
Zuchu ni the next big thing kwenye bongofleva.

Huu ni mwanzo tu.
 
wewe jamaa kubali tu hawa hawa jamaa ni wakali.

Mkuu sijawahi kusikiliza na wala siujui,nimetoa hongera kwasababu watu wanausifia humu mitandaoni kwamba ni mzuri,sasa siwezi nikasema mbaya wakati siujui,ningekuwa nimeusikiliza ningetoa maoni.

Jamaa gani ambao ni wakali? Nani King Kibakuli au Konde Gand Mmasai au Waisibii? Mimi si mpenzi wa Makopokopo yenu na ndio maana miziki yenu hii mnayoisifia hata siijui halafu redio nayopenda kuisikiliza hawapigi miziki ya Waisibii nadhani ndio tatizo.(Ea Radio.)









 
Mkuu sijawahi kusikiliza na wala siujui,nimetoa hongera kwasababu watu wanausifia humu mitandaoni kwamba ni mzuri,sasa siwezi nikasema mbaya wakati siujui,ningekuwa nimeusikiliza ningetoa maoni.

Jamaa gani ambao ni wakali? Nani King Kibakuli au Konde Gand Mmasai au Waisibii? Mimi si mpenzi wa Makopokopo yenu na ndio maana miziki yenu hii mnayoisifia hata siijui halafu redio nayopenda kuisikiliza hawapigi miziki ya Waisibii nadhani ndio tatizo.(Ea Radio.)










Huwajui ila haujawai kukosa kuchangia kwenye uzi wa wcb wasafi.

Kwa hiyo hapo ulipo haumjui Diamond.
Haumjui Rayvanny.
Haumjui Mbosso.
Haumjui Zuchu.
Haumjui lavalava.

Aaisee Wasafi watakupa ugonjwa wa uchawi (kama bado ujauanza) hawakwepeki hao kama maji.
 
Huwajui ila haujawai kukosa kuchangia kwenye uzi wa wcb wasafi.

Kwa hiyo hapo ulipo haumjui Diamond.
Haumjui Rayvanny.
Haumjui Mbosso.
Haumjui Zuchu.
Haumjui lavalava.

Aaisee Wasafi watakupa ugonjwa wa uchawi (kama bado ujauanza) hawakwepeki hao kama maji.

Kujua majina yao nayajua ila makopokopo yao huwa sisikilizi mkuu kwa mfano huyo Zuchu nimemjulia JF kwa kutajwa tajwa ila ukiniambia nitaje kazi zake labda mpaka nigugo! Hivi haujui wasanii wenu hao wanapenda sana kiki za kubumba? Humu JF mi thread yao kibao isiyokuwa na kichwa wala miguu.

Sio wasafi tu ambao siwafatilii hata konde gang na kibakuli wote hamna kitu....Umeng'ang'ania kwamba siwafagilii wasafi ,tofutisha kuwafagilia na kuwafatilia ,mimi siwafatilii wote hao sio wasafi wala wachafu sio Konde wala ngumi ,sio kibakuli wala kikombe wote mambwiga tu.

Tambua kwamba kazi za wasafi naziona humu tu zikipewa promo tu nje ya hapo sizijui maana Ea Radio hawazipigi na mimi ndio redio nayosikiliza sasa hayo maji unayozungmzia sijui ni yapi na hata nikiona kazi zao humu huwa sizisikilizi na hata siangaiki nazo,just imagine wimbo wa dayamondi na kofiii nimekuja kuusikiliza kwenye harusi ya Manara tu tangia utoke kukosa hiyo harusi inamaana nisingeujua.
 
Back
Top Bottom