Zuchu aweka rekodi ya kipekee

Zuchu aweka rekodi ya kipekee

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Malkia wa bongofleva Zuchu ameweka rekodi ya kukaa namba moja trend kwa wiki zaidi ya mbili.

Na masaa matano baada ya kutoa wimbo mpya umeenda moja kwa moja kushika namba mbili kwenye trend.

Kwa hiyo namba moja ni Zuchu na namba mbili ni Zuchu.

Hii haijawai kutokea Africa mashariki na kati.

Nyota siku zote uwa haijifichi.
Screenshot_20201016-145501.jpg
 
kwa taarifa ya jana pia ndo anaongoza kufuatiliwa afrika kwa wasanii wapya, boss wake mondi nae katika list ilotolewa na CNN ya wasanii wakubwa afrika anashika no 3, wcb ukiwachukia ndo wanakukera zaidi, poleni hater kwa kuuguza majeraha yasopona.
 
vipi yule chinga naye ?
nasikia account yake imekuwa deleted kule youtube. Hapa ndipo ilipo tofauti ya WCB na KONDE MUSIC hasa linapokuja suala la ku brand wasani wao.
all in all, hongera bibie zuchu
 
Back
Top Bottom