Zuchu Balozi mpya wa ZANTEL

Zuchu Balozi mpya wa ZANTEL

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,195
Reaction score
13,785
1622119626989.png

IMG_5958.jpg
IMG_5959.jpg

Mchana wa leo msanii wa kike kutoka lebo ya wasafi amesaini mkataba wa kuwa balozi mpya wa mtandao wa zantel ambao sasahiv wanakampeni Yao ya internet yenye kasi ya 4G
 
Hakuna la maana. Zantel ilishanunuliwa na Tigo Tanzania. Angekua balozi wa Tigo Tanzania ingekua sawa. Upuuzi huo watu wa instagram ndo wanadanganywa! WCB sijui kwanini wapo desperate sana.
Kwa hiyo kuwa balozi wa Zantel Zanzibar si sawa? au

labda kwa kuwa Tigo wameinunua Zantel basi Zantel haipo?

Sasa sijui nani yupo desperate 😂 😂 😂 ,wakati Zantel wamechagua Zuchu kuwa balozi,mwisho wa siku wewe unahesabu makuti humu JF,mwezako Zuchu ana hesabu nazi za Zantel.
 
Kwa hiyo kuwa balozi wa Zantel Zanzibar si sawa? au

labda kwa kuwa Tigo wameinunua Zantel basi Zantel haipo?

Sasa sijui nani yupo desperate [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,wakati Zantel wamechagua Zuchu kuwa balozi,mwisho wa siku wewe unahesabu makuti humu JF,mwezako Zuchu ana hesabu nazi za Zantel.

Jamaa amepagawa yaan alivyoongea ni Kama zantel kampuni imekufa vile
 
Kwa hiyo kuwa balozi wa Zantel Zanzibar si sawa? au

labda kwa kuwa Tigo wameinunua Zantel basi Zantel haipo?

Sasa sijui nani yupo desperate [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,wakati Zantel wamechagua Zuchu kuwa balozi,mwisho wa siku wewe unahesabu makuti humu JF,mwezako Zuchu ana hesabu nazi za Zantel.

Najaribu kukutoa tongotongo kwenye macho ila umegang’ania ushabiki wa kijinga. Hakuna mkataba wa maana hapo
 
Gharama za malipo ya uyo msanii tunanyonywa sisi.
 
Back
Top Bottom