Zuchu Balozi mpya wa ZANTEL

Zuchu Balozi mpya wa ZANTEL

Najaribu kukutoa tongotongo kwenye macho ila umegang’ania ushabiki wa kijinga. Hakuna mkataba wa maana hapo
Najaribu kukutoa tongotongo kwenye macho ila umegang’ania ushabiki wa kijinga. Hakuna mkataba wa maana hapo
🤣🤣🤣
Sasa Tongotongo una mtoa nani?.

Yaani hiyo habari ya Tigo kuinunua Zantel naijua tokea 2015,nina majama zangu wapo tigo mmoja IP/MPLS Engineer,Mwengine IT Security so najua vizuri.

Unasema mkataba si wa maana umeuona?,haya nitajie wasanii waliopata mkataba wa maana na ulikuwa kiasi gani?.
 
Hii kweli wadau wa zantel ?

Screenshot_20210523-010100_Samsung Internet.jpg
 
Hiyo ni kweli kabisa mkuu labda huko mbele watugeuke.

Ila hadi sasa ndivyo vilivyo tena naweza kusema ni zaidi ya hapo kabisa kwa hizo ofa.
Hii hapana siwezi kuivumilia.

Leo ngoja nikasajili zanteli aisee.

GB zaidi ya 100 si maskhara haya
 
Hv nlitaka special no ya zantel ntapata
 
MIC Tanzania Limited ndo imenunuliwa, sio Tigo mkuu.
MIC waliokuwa wana trade kwa jina la kibiashara la Tigo...so ni sahihi kusema Tigo imenunuliwa. Meaning kwa hapa chini usemapo neno Tigo unamaanisha MIC Ltd...ambayo kwa sasa wame exit the market na kuwaachia wamadagascar...ambao nao hawabadili chochote kwenye jina la biashara...wanaendelea hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom