Zuchu hafanyi matangazo ya vileo. Vipi kuhusu kazi zinazodhaminiwa na makampuni ya vileo?

Zuchu hafanyi matangazo ya vileo. Vipi kuhusu kazi zinazodhaminiwa na makampuni ya vileo?

Nampenda Zuchu ni mcha mungu haswa; hataki watu wanywe vileo lakini wadamue kuifinyia kwa ndani utamu kolea, mpatie sukari mchepuko.
Naskia Kuna video yake ya X imevuja ...Kuna ukwel wowote ????
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi navyo vituko.
 
Shhhhh.... Kuna kiongozi Zbar alisema live anapenda wimbo sukari.

Halafu neno "TEMBELE" anapenda kulitumia sana ,sasa sijui anamaanisha "SALIVA FRONT" mboga au Mbuzi kagoma kuchumia TEMBELE.
 
Hajapata tu dilli la kinywaj(pombe) muongo huyo mbona kuimba tu kwa waislam ni dhambi kubwa sana kuliko hata kileo
 
Hivi majuzi nilisikiliza interview ya Sallam SK kupitia kipindi cha The Switch cha Wasafi FM nikajifunza jambo -- kuwa kumbe si kila msanii yupo tayari kunyakua kila dili linalowekwa mezani, no matter how much mulla it brings.

Kumbe si ughaibuni tu ambapo watu wana uthubutu wa kukataa michongo ya pesa ndefu. Bongo tumefika pazuri. Inapendeza kuona sasa wasanii wetu wanaweza kuchagua pesa gani ya kuokota na ipi ya kuachia wengine.

Nimemsikia Mendez akisema bibiye Zuchu, kutokana na msimamo wake, hayupo tayari kukubali kazi za kutangaza vileo. Kwa mujibu wa meneja huyo, ambaye ninathubutu kumwita mwenye mafanikio zaidi kwenye soko la muziki wa Bongo, Zuchu could be pocketing big bucks from such endorsements.

Baada ya kufurahishwa na hayo, nimepata kujiuliza: msimamo huu unamaanisha pia kutofanya au kushiriki -- kwa namna yoyote ile -- kazi ambazo zinadhaminiwa na makampuni ya vileo? Vipi kuhusu matamasha yanayowezeshwa na vileo? Au hii ni yeye tu binafsi ndiye hataki kushika chupa na kutushawishi ni namna gani koo linasawijika linapokumbana na bia bariiiiiiid?

Natamani kufahamu msimamo wa Zuchu ni mpana kiasi gani. Ila kwakweli kuwa na misimamo ya namna hii mbele ya pesa ni jambo la kustahili pongezi.

View attachment 1864488
Sehemu ya mahojiano ya Sallam SK
Ulipaswa kwenda mbali zaidi basi. Kama msimamo wa kutotangaza pombe unatokana na imani ama maadili, huo mziki nao je? Maana japo sina hakika yeye ni imani gani,lakini, kwa imani nyingi mziki anaoufanya ni haramu pia. Tena motoni kabisa. Lakini hoja hii itakuwa na mashiko kama kukataa kwake kunatokana na imani.
 
Hii dunia bila kuwa mnafiki husogei.....hizo nyimbo anazoimba ndiyo zinamtukuza Mungu? Anyway ngoja tuendelee kunywa mtori
 
Nyama ya nguruwe ni haramu ila mchuzi wake sio wake haramu.
 
Andaa beseeee🤣🤣🤣 anayeelewa maan yake anisaidie
 
Huyo binti ni mpuuzi aseme hataki kutangaza pombe mbona anaimba nyimbo za matusi,anajiweka uchi kwenye matamasha lakini pia hiyo pombe hawezi kuiepuka kwani bado pombe zinauzwa na watu kunywa kwenye matamasha anayotumbuiza hivyo moja kwa moja hayo maasi yanayofanyika hapo yeye ndio sababu maana hao wamekusanyika hapo wakisherehekea burudani inayotolewa na yeye,hivyo asiangaike yeye ameamua kufanya haramu basi afanye tu maana hicho anachofanya kwa sasa ni sawa na wale wanaokula mchuzi wa nguruwe na wakaacha nyama wakisema nyama ya nguruwe ni haramu.
 
Back
Top Bottom