Zuchu hafanyi matangazo ya vileo. Vipi kuhusu kazi zinazodhaminiwa na makampuni ya vileo?

Nampenda Zuchu ni mcha mungu haswa; hataki watu wanywe vileo lakini wadamue kuifinyia kwa ndani utamu kolea, mpatie sukari mchepuko.
Naskia Kuna video yake ya X imevuja ...Kuna ukwel wowote ????
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi navyo vituko.
 
Kasharidhika na pesa ,nimeona amesema kwa mwezi anaingiza milioni 10 kutoka youtube.
 
Shhhhh.... Kuna kiongozi Zbar alisema live anapenda wimbo sukari.

Halafu neno "TEMBELE" anapenda kulitumia sana ,sasa sijui anamaanisha "SALIVA FRONT" mboga au Mbuzi kagoma kuchumia TEMBELE.
 
Hajapata tu dilli la kinywaj(pombe) muongo huyo mbona kuimba tu kwa waislam ni dhambi kubwa sana kuliko hata kileo
 
Ulipaswa kwenda mbali zaidi basi. Kama msimamo wa kutotangaza pombe unatokana na imani ama maadili, huo mziki nao je? Maana japo sina hakika yeye ni imani gani,lakini, kwa imani nyingi mziki anaoufanya ni haramu pia. Tena motoni kabisa. Lakini hoja hii itakuwa na mashiko kama kukataa kwake kunatokana na imani.
 
Hii dunia bila kuwa mnafiki husogei.....hizo nyimbo anazoimba ndiyo zinamtukuza Mungu? Anyway ngoja tuendelee kunywa mtori
 
Nyama ya nguruwe ni haramu ila mchuzi wake sio wake haramu.
 
Andaa beseeee🤣🤣🤣 anayeelewa maan yake anisaidie
 
Huyo binti ni mpuuzi aseme hataki kutangaza pombe mbona anaimba nyimbo za matusi,anajiweka uchi kwenye matamasha lakini pia hiyo pombe hawezi kuiepuka kwani bado pombe zinauzwa na watu kunywa kwenye matamasha anayotumbuiza hivyo moja kwa moja hayo maasi yanayofanyika hapo yeye ndio sababu maana hao wamekusanyika hapo wakisherehekea burudani inayotolewa na yeye,hivyo asiangaike yeye ameamua kufanya haramu basi afanye tu maana hicho anachofanya kwa sasa ni sawa na wale wanaokula mchuzi wa nguruwe na wakaacha nyama wakisema nyama ya nguruwe ni haramu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…