Zuchu kavalishwa kofia kwa heshima kuliko msanii yeyote wa kike Tanzania

Zuchu kavalishwa kofia kwa heshima kuliko msanii yeyote wa kike Tanzania

Kigoma Independent

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
3,519
Reaction score
2,055
Habarini wana jamvi? Natumai mu wazima wa afya.

Hii imetokea Leo Zanzibar ambapo Zuchu bin kopa Kama The Best female east Africa musician alipotoa performance Kali sana pale viwanja vya mnazi mmoja Zanzibar na kumuacha rahisi midomo wazi kwa furaha.

Nadiriki kusema kwanza Zuchu ndo msanii wa kike Tangu kampeni zianze kumsimamisha rais na kumchezesha huku akivishwa kofia, huku kwa wakiume Rayvanny the only BET winner akifunga milango.

Kwa maana hii hatuna budi kukubalina na ukweli kuwa Zuchu ndo new queen wa bongo flavour na Hana mpinzani kwa sasa.

Na Mwisho kabisa wimbo wa Zuchu Tanzania ya sasa ndo nyimbo Bora ya kampeni maana hajatoa remix na imebamba na kila ikipigwa rais anapagawa kuliko kifani.
 
Aise leo Kawa star huyu dem nakumbka alikuwa anauza duka kinondoni studio....
Kweli maisha hayana formula

Ova
Yeah tena ndo kabisa bado mtoto mbichi, naamini anaenda kuushangaza ulimwengu kwa kipaji murua alicho nacho na ananjaa ya mafanikio Kama Boss wake DIAMOND the G. O. A. T
 
Habarini wana jamvi...?
Natumai mu wazima wa afya.

Hii imetokea Leo Zanzibar ambapo Zuchu bin kopa Kama The Best female east Africa musician alipotoa performance Kali sana pale viwanja vya mnazi mmoja Zanzibar na kumuacha rahisi midomo wazi kwa furaha.

Nadiriki kusema kwanza Zuchu ndo msanii wa kike Tangu kampeni zianze kumsimamisha rais na kumchezesha huku akivishwa kofia, huku kwa wakiume Rayvanny the only BET winner akifunga milango.

Kwa maana hii hatuna budi kukubalina na ukweli kuwa Zuchu ndo new queen wa bongo flavour na Hana mpinzani kwa sasa.

Na Mwisho kabisa wimbo wa Zuchu Tanzania ya sasa ndo nyimbo Bora ya kampeni maana hajatoa remix na imebamba na kila ikipigwa rais anapagawa kuliko kifani.
Hata mimi nampenda sana huyo dada kwa wimbo wake huo wa Tanzania Mpya huwa unanifurahisha sana.
 
Hata mimi nampenda sana huyo dada kwa wimbo wake huo wa Tanzania Mpya huwa unanifurahisha sana.
Fact kaka afadhali wewe pia umeliona Hilo, yaani hakuna mtu ambae haupendi hiyo nyimbo awe upinzani au wapi ni wamoto baraa na ndo number 1 special kwa kampeni
 
Back
Top Bottom