PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
hongera zake anajitahidi huyu bint.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Aise leo Kawa star huyu dem nakumbka alikuwa anauza duka kinondoni studio....
Kweli maisha hayana formula
Ova
Unayo namba yake..??Aise leo Kawa star huyu dem nakumbka alikuwa anauza duka kinondoni studio....
Kweli maisha hayana formula
Ova
Huu hapa!Fact kaka afadhali wewe pia umeliona Hilo, yaani hakuna mtu ambae haupendi hiyo nyimbo awe upinzani au wapi ni wamoto baraa na ndo number 1 special kwa kampeni
Fact atafika mbali Sana kwa nidhamu hii maana ndo kwanza ana miezi 5 kwa game.hongera zake anajitahidi huyu bint.
me siupendiFact kaka afadhali wewe pia umeliona Hilo, yaani hakuna mtu ambae haupendi hiyo nyimbo awe upinzani au wapi ni wamoto baraa na ndo number 1 special kwa kampeni
Labda pampasWewe umevishwa nini?
una mpango wa kunikimbia hendisamu!?😓Unayo namba yake..??
Kwani now tuko wapi mbona hunajikoroga mwenyeweWala haya hayatatupeleka kwenye uchumi wa kati ahahaha
Hii hapa 0700123456Unayo namba yake..??
Mitano Tena inatosha
Wewe sio mtanzaniame siupendi
Shari ya kijani na njano[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe umevishwa nini?
Wewe pampas square [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda pampas
Njooo kwangu pesa sio tatizouna mpango wa kunikimbia hendisamu!?[emoji29]
Fact kaka, inabidi upewe uwaziri wa Sanaa na utamaduni.[emoji122][emoji122][emoji122]Zuchu ni moja kati ya wasanii wa ajabu kuwahi kutokea naweza kusema msanie aliegeukaa super star ndani ya week moja na kua msani Mkubwa ndani ya mwezi moja hivi sasa ukisema uzungumzie wasani wakubwa Tanzania si ajabu ukanza na jina la zuchu
Sehemu pekee ambapo wasani wa kike wanaweza mzidi nipale utakapo sema unataka wasani wakongwee tuu.