Zuchu kavalishwa kofia kwa heshima kuliko msanii yeyote wa kike Tanzania

Zuchu kavalishwa kofia kwa heshima kuliko msanii yeyote wa kike Tanzania

Wala haya hayatatupeleka kwenye uchumi wa kati ahahaha
 
Fact kaka afadhali wewe pia umeliona Hilo, yaani hakuna mtu ambae haupendi hiyo nyimbo awe upinzani au wapi ni wamoto baraa na ndo number 1 special kwa kampeni
Huu hapa!

IMG-20200923-WA0004.jpg


 
Zuchu ni moja kati ya wasanii wa ajabu kuwahi kutokea naweza kusema msanie aliegeukaa super star ndani ya week moja na kua msani Mkubwa ndani ya mwezi moja hivi sasa ukisema uzungumzie wasani wakubwa Tanzania si ajabu ukanza na jina la zuchu
Sehemu pekee ambapo wasani wa kike wanaweza mzidi nipale utakapo sema unataka wasani wakongwee tuu.
 
Zuchu ni moja kati ya wasanii wa ajabu kuwahi kutokea naweza kusema msanie aliegeukaa super star ndani ya week moja na kua msani Mkubwa ndani ya mwezi moja hivi sasa ukisema uzungumzie wasani wakubwa Tanzania si ajabu ukanza na jina la zuchu
Sehemu pekee ambapo wasani wa kike wanaweza mzidi nipale utakapo sema unataka wasani wakongwee tuu.
Fact kaka, inabidi upewe uwaziri wa Sanaa na utamaduni.[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Back
Top Bottom