Zuchu kavalishwa kofia kwa heshima kuliko msanii yeyote wa kike Tanzania

Zuchu kavalishwa kofia kwa heshima kuliko msanii yeyote wa kike Tanzania

Grow up

Hata Nandy kavalishwa kofia, that meant nothing....


Kingine kwa sasa kwa akili zako unamwona zuchu ni bora kuliko mama yake mzazi khadija kopa[emoji23][emoji23]

Tambua una akili ndogo kama leo zuchu anakumahabisha kuliko legends wa kike nchi hii....

Umeona comments za wengine wanakuonaje?
unajua maana ya current/recent hot uwezi kunambia msanii wa sasa Bora unambie Khadija kopa/jaydee but hao Wana heshima zao, but kwa Sasa upende usipende utauramba mwiko ZUCHU no wamoto.

nandy kwasasa bado Sana kwa zuchu na huu sio ushabiki maandazi Bali namba zinaongea kuanzia kwenye digital platforms zote.

Kama unakuja njoo na fact, usike za uso.

Mwisho, wadau wengi wanamkubali zuchu isipokua wewe.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Habarini wana jamvi...?
Natumai mu wazima wa afya.

Hii imetokea Leo Zanzibar ambapo Zuchu bin kopa Kama The Best female east Africa musician alipotoa performance Kali sana pale viwanja vya mnazi mmoja Zanzibar na kumuacha rahisi midomo wazi kwa furaha.

Nadiriki kusema kwanza Zuchu ndo msanii wa kike Tangu kampeni zianze kumsimamisha rais na kumchezesha huku akivishwa kofia, huku kwa wakiume Rayvanny the only BET winner akifunga milango.

Kwa maana hii hatuna budi kukubalina na ukweli kuwa Zuchu ndo new queen wa bongo flavour na Hana mpinzani kwa sasa.

Na Mwisho kabisa wimbo wa Zuchu Tanzania ya sasa ndo nyimbo Bora ya kampeni maana hajatoa remix na imebamba na kila ikipigwa rais anapagawa kuliko kifani.
Huo wimbo hata Tundu anaupenda sana. Mwili wake unataka kucheza lakini maungo yake hayamruhusu.
 
Hivi siku hizi hamna tena habari mpya malejendari wa hii forum maana Era yenu ilikuwa kweli ya Jf celebrities [emoji4]..
wengine tumeshachoshwa na ushabiki wa kipuuzi wa siku hizi
Bora umesema wewe angalau wataelewa
 
unajua zamani bwanaa ikifika jioni wote tunaenda chit chat au mtu anafungua uzi MMU tunakutana huko ila sanasana chitchat tunaweka story,kesho analeta huyo kesho kutwa mwingine sasa lazima kuna nyuzi itabamba zaidi watu wanahamia huko .tulikuwa tunajifurahisha tatizo kutukanwa na kuleteana stori za ajabu
Sasa tumeona tudeal na uchumi wa kati
kweli kila kitu na zama zake
 
Back
Top Bottom