Lily Tony
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 3,198
- 4,191
sms sent.,case closedUshauri wangu kwake ni atulie ujana ni maji yamoto..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sms sent.,case closedUshauri wangu kwake ni atulie ujana ni maji yamoto..
mmmmmmmhushauri mpe hapa hapa ,mleta uzi atamfikishia.Nilishaanza kununa ivo[emoji20]
njooo pm tuyajenge chap[emoji1]wacha weee
![emoji4][emoji4]
ok zuchu mama laosawa upende wewe
daaaaaah kwani una hela...?Ushauri wangu kwake ni atulie ujana ni maji yamoto..
unajua maana ya current/recent hot uwezi kunambia msanii wa sasa Bora unambie Khadija kopa/jaydee but hao Wana heshima zao, but kwa Sasa upende usipende utauramba mwiko ZUCHU no wamoto.Grow up
Hata Nandy kavalishwa kofia, that meant nothing....
Kingine kwa sasa kwa akili zako unamwona zuchu ni bora kuliko mama yake mzazi khadija kopa[emoji23][emoji23]
Tambua una akili ndogo kama leo zuchu anakumahabisha kuliko legends wa kike nchi hii....
Umeona comments za wengine wanakuonaje?
ni pm chapsms sent.,case closed
iko shida mahali mkuu?!mmmmmmmh
kuna usalama?ni pm chap
Huo wimbo hata Tundu anaupenda sana. Mwili wake unataka kucheza lakini maungo yake hayamruhusu.Habarini wana jamvi...?
Natumai mu wazima wa afya.
Hii imetokea Leo Zanzibar ambapo Zuchu bin kopa Kama The Best female east Africa musician alipotoa performance Kali sana pale viwanja vya mnazi mmoja Zanzibar na kumuacha rahisi midomo wazi kwa furaha.
Nadiriki kusema kwanza Zuchu ndo msanii wa kike Tangu kampeni zianze kumsimamisha rais na kumchezesha huku akivishwa kofia, huku kwa wakiume Rayvanny the only BET winner akifunga milango.
Kwa maana hii hatuna budi kukubalina na ukweli kuwa Zuchu ndo new queen wa bongo flavour na Hana mpinzani kwa sasa.
Na Mwisho kabisa wimbo wa Zuchu Tanzania ya sasa ndo nyimbo Bora ya kampeni maana hajatoa remix na imebamba na kila ikipigwa rais anapagawa kuliko kifani.
Bora umesema wewe angalau wataelewaHivi siku hizi hamna tena habari mpya malejendari wa hii forum maana Era yenu ilikuwa kweli ya Jf celebrities [emoji4]..
wengine tumeshachoshwa na ushabiki wa kipuuzi wa siku hizi
yeah maana naomba unipm uko kimyaiko shida mahali mkuu?!
yeah tunayajenga chap sawakuna usalama?
FactHuo wimbo hata Tundu anaupenda sana. Mwili wake unataka kucheza lakini maungo yake hayamruhusu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Bora umesema wewe angalau wataelewa
kweli kila kitu na zama zakeunajua zamani bwanaa ikifika jioni wote tunaenda chit chat au mtu anafungua uzi MMU tunakutana huko ila sanasana chitchat tunaweka story,kesho analeta huyo kesho kutwa mwingine sasa lazima kuna nyuzi itabamba zaidi watu wanahamia huko .tulikuwa tunajifurahisha tatizo kutukanwa na kuleteana stori za ajabu
Sasa tumeona tudeal na uchumi wa kati
Ushabiki gani kaka[emoji23][emoji23][emoji23]
Ulimwengu wa Giza labda.Yeah tena ndo kabisa bado mtoto mbichi, naamini anaenda kuushangaza ulimwengu kwa kipaji murua alicho nacho na ananjaa ya mafanikio Kama Boss wake DIAMOND the G. O. A. T