Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Zuchu mwenyewe akisoma hii atashangaa
Boring..!
Boring..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa unataka Mambo ya miaka 1960 ndo twende nayo leo...?kweli kila kitu na zama zake
sijaelewa na ndo Mana nimecheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hadi umecheka bhasi ushaelewa "inaboa"
nenda kwenye Uzi wako sawa wa kulana tunda[emoji23][emoji23][emoji23]Utopolooo tuu
ulimwengu wa Giza squareUlimwengu wa Giza labda.
mmmmmmmh kweli maana sijampa sifa zake za kuwa The G. O. A T female artist in Tanzania [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zuchu mwenyewe akisoma hii atashangaa
Boring..!
unajua maana ya current/recent hot uwezi kunambia msanii wa sasa Bora unambie Khadija kopa/jaydee but hao Wana heshima zao, but kwa Sasa upende usipende utauramba mwiko ZUCHU no wamoto.
nandy kwasasa bado Sana kwa zuchu na huu sio ushabiki maandazi Bali namba zinaongea kuanzia kwenye digital platforms zote.
Kama unakuja njoo na fact, usike za uso.
Mwisho, wadau wengi wanamkubali zuchu isipokua wewe.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Google inaseme ana miaka 30!..lakini mbona anaonekana wa miaka 23 kbsYeah tena ndo kabisa bado mtoto mbichi, naamini anaenda kuushangaza ulimwengu kwa kipaji murua alicho nacho na ananjaa ya mafanikio Kama Boss wake DIAMOND the G. O. A. T
Duh! Hiyo Kali aisee sijui hapo tuamini Google au macho?Google inaseme ana miaka 30!..lakini mbona anaonekana wa miaka 23 kbs
Ninavyokujua mzee wangu lazima ulijisogeza karibu yakeAise leo Kawa star huyu dem nakumbka alikuwa anauza duka kinondoni studio....
Kweli maisha hayana formula
Ova
Inabidi tuamini macho mkuu wanguDuh! Hiyo Kali aisee sijui hapo tuamini Google au macho?
Waziri mkuu wa nchizuchu ndio nani??
Fact kaka, inabidi upewe uwaziri wa Sanaa na utamaduni.[emoji122][emoji122][emoji122]
sasa google si ni binadamu Kama wewe...? zuchu mdogo size ya Paula kajalaGoogle inaseme ana miaka 30!..lakini mbona anaonekana wa miaka 23 kbs
45Sorry una miaka mingapi shekh!??
jibu murua na la kibabeWaziri mkuu wa nchi