Zuchu kavalishwa kofia kwa heshima kuliko msanii yeyote wa kike Tanzania

Zuchu kavalishwa kofia kwa heshima kuliko msanii yeyote wa kike Tanzania

unajua maana ya current/recent hot uwezi kunambia msanii wa sasa Bora unambie Khadija kopa/jaydee but hao Wana heshima zao, but kwa Sasa upende usipende utauramba mwiko ZUCHU no wamoto.

nandy kwasasa bado Sana kwa zuchu na huu sio ushabiki maandazi Bali namba zinaongea kuanzia kwenye digital platforms zote.

Kama unakuja njoo na fact, usike za uso.

Mwisho, wadau wengi wanamkubali zuchu isipokua wewe.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Wewe mimi nasikiliza nyimbo za zuchu kuliko hata wewe na ninazipenda pia

Ila sijazaliwa kuwa mjinga kiasi hicho. Pole sana mama anaringa nyumbani ana mtoto wa kike

Wewe unaishi maisha ya kimaskini, kwa akili hizi hauwezi kuwa umetoboa kwa lolote lile
 
Yeah tena ndo kabisa bado mtoto mbichi, naamini anaenda kuushangaza ulimwengu kwa kipaji murua alicho nacho na ananjaa ya mafanikio Kama Boss wake DIAMOND the G. O. A. T
Google inaseme ana miaka 30!..lakini mbona anaonekana wa miaka 23 kbs
 
Back
Top Bottom