Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Ile kazi yake ya Kuitwa 'Ntade ' ni moja ya kazi bora kabisa za Muda wotee
Naona anaelekea kumrithi Tundaman. Binafsi Marioo nilimkubali zaidi kwenye nyimbo zake za mwanzoni, hizi za sasa naona zinaendana ni kujiliza tu
Nadanganya vipi hapo?unadanganya hadharani
Ndio yeye.Huyu sio kale kabinti kameimba jingo ya wasafi fm?
Kamaind kuwaiwa kuleta hii habari pia Juma lokole alikua amelalaUmemind jamaa anajua habari za ndani za wcb kuliko wewe?
Mkuu mi naongea point sema wewe uelewi kuendekeza uteamNilishangaa nisingekukuta huku,ila tushazizoea -ve comment zako kwa WCB.
Sure shit
Kwa Vee Money atasubiri sana, had dunia igeuke na haitakuwaRuby akiacha attitude za kidiva na kuropoka.. bongo hii hakuna wa kumgusa
Jamaa lina akili za kipumbavu sana Linapangia watu cha kupost na ujuaji wa kijingaKaka anzisha thread yako iwe unavyotaka wewe. Mimi nimeandika kwa mujibu wa taarifa nilizonazo.
Alafu kajisaulisha kumtaja lavalava na Kwin dariniNa Rich Mavoko nae alichukuliwa kukuzwa kipaji ?
Unatetea mambo kijinga kama kuku aliyekata kichwa
Yaani mtu kabla hujamsikia USHAMWELEWA na ushaanza KUMPONDA,huo si UCHIZI hata kama unaichukia WCB ila zako wewe TOO MUCH.Kamaind kuwaiwa kuleta hii habari pia Juma lokole alikua amelala
Wewe ni hater uliyetukuka hata hivyoAlafu kajisaulisha kumtaja lavalava na Kwin darini
Angalia ulichoandika kablaNadanganya vipi hapo?
Hata Rayvanny analia lia
Post uwa zinafutwaHakana post hatamoja tayari followers elfu tano, watuma nauli watupu
OverratedHatimaye zamu ya Zuchu imewadia.
Mtoto wa Khadija Kopa rasmi sasa kutambulishwa Wasafi.
Amekaa benchi kwa miaka karibu mitano.
Ukubwa wa kipaji chake ni Jide+Nandy+Vanessa Mdee.
Tanzania inaenda kupata malkia mpya wa bongofleva.
Hongera Wasafi hongera Tanzania.
HEY.Sijui mimi ndio sijui Mziki. Ila kiukweli wafuatao sijawai kuelewa wanachoimba
Ve Money
Lavalava
Rayvan
Maromboso sijui Mboso khan
Wapo wengi sanaa