😂😂 dhambi zina heka heka nyingiKitimoto ni haramu kuliko pombe au sigara 😅
Tuliza macho yako utabaka na kuitengeneza kesi, tembelea hapo Eswatini uone the beauty of African ladiesNasikitika Sana kukuona Dada yangu mziki unavyokupoteza mpaka unavaa nguo zisizo na staha.Mbaya zaidi wewe ni muislamu na waislamu wenzako wanavaa Kwa staha.Am so Disappointed [emoji20][emoji20].Why why why unateseka kujificha ficha na hako kapochi mwangalie Diamond alivyovaa vizuri very comfortable.View attachment 2483912View attachment 2483913
Ulitaka avae dera ukumbini? Muziki ni kazi ya shetani, mwache binti afanye ushetani aliouchaguaNasikitika Sana kukuona Dada yangu mziki unavyokupoteza mpaka unavaa nguo zisizo na staha.Mbaya zaidi wewe ni muislamu na waislamu wenzako wanavaa Kwa staha.Am so Disappointed [emoji20][emoji20].Why why why unateseka kujificha ficha na hako kapochi mwangalie Diamond alivyovaa vizuri very comfortable.View attachment 2483912View attachment 2483913
Si kuna muislam amefungua uzi na kuwasema wakristu.Nasikitika Sana kukuona Dada yangu mziki unavyokupoteza mpaka unavaa nguo zisizo na staha.Mbaya zaidi wewe ni muislamu na waislamu wenzako wanavaa Kwa staha.Am so Disappointed [emoji20][emoji20].Why why why unateseka kujificha ficha na hako kapochi mwangalie Diamond alivyovaa vizuri very comfortable.View attachment 2483912View attachment 2483913
Freemason waliojificha kwenye kichaka cha dini ya hakhi.Nasikitika Sana kukuona Dada yangu mziki unavyokupoteza mpaka unavaa nguo zisizo na staha.Mbaya zaidi wewe ni muislamu na waislamu wenzako wanavaa Kwa staha.Am so Disappointed [emoji20][emoji20].Why why why unateseka kujificha ficha na hako kapochi mwangalie Diamond alivyovaa vizuri very comfortable.View attachment 2483912View attachment 2483913
Watakuwa walimuwekea dau dogoKumbuka huyu alikataa kufanya tangazo la pombe kisa ye Muslim pombe kwake haramu.
Ila hicho alichokivaa ni kitu gani?
Hizi dini za kulazimisha hizi...Kivazi cha kikafiri kimempendeza kweri-kweri.
This is too much brother mwangalie anavyohangaika hata kama ndyo muziki na fasheni hii imefikia pabaya.Wewe vaa za staha, yeye muache avae nguo anazotaka yeye.
Wewe ukivaa za staha inatosha.
Usitake watu waishi wewe unavyotaka, wapangie maisha unaowalisha na kuwavisha. Mtu humlishi, humvishi na huna msaada wowote kwake halafu unataka umpangie avae nini, avaeje.
Huo uislamu wewe unaweza kuufanya ama kuutekeleza yeye muache atekeleze anavyoona inamfaa. Kwani amekwambia anataka kwenda mbinguni?
Aligoma kufanya matangazo ya betting anasema ni haramu kwa mujibu wa dini yake.Hizi dini za kulazimisha hizi...
Kwani Zuchu hajui dini yake?
Huyu ni muislam au jina?
Makubwa ni dini gani hiyo imeanza kuruhusu watu wachague dhambi za kufanyaDini inaruhusu uchague dhambi ya kufanya na ambayo sio ya kufanya so bado yuko sahihi kuchagua kutotangaza pombe ila bado akachagua kupigwa miti na kuliwa utamu. Bado hakuna alichokosea kwa mtazamo wa kidini na kisheria za nchi.
HahahhaKitumbua nje-nje
Ustaarabu usingekuwepo.Wewe vaa za staha, yeye muache avae nguo anazotaka yeye.
Wewe ukivaa za staha inatosha.
Usitake watu waishi wewe unavyotaka, wapangie maisha unaowalisha na kuwavisha. Mtu humlishi, humvishi na huna msaada wowote kwake halafu unataka umpangie avae nini, avaeje.
Huo uislamu wewe unaweza kuufanya ama kuutekeleza yeye muache atekeleze anavyoona inamfaa. Kwani amekwambia anataka kwenda mbinguni?
Hapo hajui amewafanya wangapi wamtamaniAligoma kufanya matangazo ya betting anasema ni haramu kwa mujibu wa dini yake.