Kila mtu mtenda dhambi ila kila mtu ana dhambi zake ambazo hatendi.Kumbuka huyu alikataa kufanya tangazo la pombe kisa ye Muslim pombe kwake haramu.
Ila hicho alichokivaa ni kitu gani?
Vijana wa hovyo wameshaingiza hii picha kwenye list yao ya picha za bafuni.Hapo hajui amewafanya wangapi wamtamani
Unafiki wakati anajidhalilisha kwa Dai kila siku?Aligoma kufanya matangazo ya betting anasema ni haramu kwa mujibu wa dini yake.
Biashara matangazo,Nasikitika Sana kukuona Dada yangu mziki unavyokupoteza mpaka unavaa nguo zisizo na staha.
Mbaya zaidi wewe ni muislamu na waislamu wenzako wanavaa Kwa staha. Am so Disappointed .
Why why why unateseka kujificha ficha na hako kapochi mwangalie Diamond alivyovaa vizuri very comfortable.
View attachment 2483912View attachment 2483913
Watanzania kila mtu sheikh, mchungaji, kasisi, mshauri na mfundishaji.
Na ikitokea zuchu kufail kimuziki huyu huyu aliyeanzisha mada ndiye atawahi kuandika "hatimaye zuchu kafulia" shame you!.
Umenena.Nguo kaleta mzungu, sisi Waafrika pamba zetu ni yale majani ya mikeka na kamba za migomba, wanawake nyonyo sometimes na takoo vyote vipo nje nje
Mwenye kuvaa ni yeyeNasikitika Sana kukuona Dada yangu mziki unavyokupoteza mpaka unavaa nguo zisizo na staha.
Mbaya zaidi wewe ni muislamu na waislamu wenzako wanavaa Kwa staha. Am so Disappointed .
Why why why unateseka kujificha ficha na hako kapochi mwangalie Diamond alivyovaa vizuri very comfortable.
View attachment 2483912View attachment 2483913
Mwachen afanye kaz yake..kuna watu hawanyw lkn ninwazinzi balaa Halfu kutwa nzima kuwasema wwanywa pombeMakubwa ni dini gani hiyo imeanza kuruhusu watu wachague dhambi za kufanya
Hiki kijipu cha pili kimeiva[emoji39] vizuri
Waislam wepi hao wanaovaa nguo za staa?"waislam"sio kiumbe mpaka wavae nguo,Nasikitika Sana kukuona Dada yangu mziki unavyokupoteza mpaka unavaa nguo zisizo na staha.
Mbaya zaidi wewe ni muislamu na waislamu wenzako wanavaa Kwa staha. Am so Disappointed .
Why why why unateseka kujificha ficha na hako kapochi mwangalie Diamond alivyovaa vizuri very comfortable.
View attachment 2483912View attachment 2483913
Shame on she [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hata kama sijui kingereza ila hapa tumepigwa [emoji119][emoji119][emoji119]Halafu mzanzibar kama Huyu ni Bidaha na ni mtihani mkubwa..
Shame on she
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa sanaaa, japo umeongea ukweli.Wewe vaa za staha, yeye muache avae nguo anazotaka yeye.
Wewe ukivaa za staha inatosha.
Usitake watu waishi wewe unavyotaka, wapangie maisha unaowalisha na kuwavisha. Mtu humlishi, humvishi na huna msaada wowote kwake halafu unataka umpangie avae nini, avaeje.
Huo uislamu wewe unaweza kuufanya ama kuutekeleza yeye muache atekeleze anavyoona inamfaa. Kwani amekwambia anataka kwenda mbinguni?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anafanya kwa kujistukiaaa eti.Nguo avae yeye na bado ahangaike kujifichaficha..mbona kujinyanyasa ivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa sanaa alfajiri hii khaaah.Watu wa kuabudu karatasi zenye maandishi mna tabu sana
Zanzibar na Mombasa ni sehemu zenye imani kali ya kiislam lakin kuna machoko kibao na wateja wao ni miongoni mwa hao hao wenye imani kali,Funzo ni kwamba Dini ni "Falsafa". ukiwa na ubongo wa sisimizi utakua unakurupuka daily kuhukumu matendo ya watu.Kumbuka huyu alikataa kufanya tangazo la pombe kisa ye Muslim pombe kwake haramu.
Ila hicho alichokivaa ni kitu gani?