[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwaka wa 7 kwenye mahusianoo, afu sivutiii? Uko timamu weeee?Mbona wewe huvutii hao wanaume unaowataka.
Nipooo na nimejaaa teleeeeee. Vipi unatakaa nafasi ktk taasisi yetu?.Yahkeeee
Nakusalimia mzee wa alphabet yaani LGBTQZy
🚮🚮🚮🚮Kuna mashoga ni wazuri kuliko huyo Zuhuraa, acha kuwadharau mashoga.
Uzi ufungwe, umemaliza kila kitu.Wewe vaa za staha, yeye muache avae nguo anazotaka yeye.
Wewe ukivaa za staha inatosha.
Usitake watu waishi wewe unavyotaka, wapangie maisha unaowalisha na kuwavisha. Mtu humlishi, humvishi na huna msaada wowote kwake halafu unataka umpangie avae nini, avaeje.
Huo uislamu wewe unaweza kuufanya ama kuutekeleza yeye muache atekeleze anavyoona inamfaa. Kwani amekwambia anataka kwenda mbinguni?
Kumbuka huyu alikataa kufanya tangazo la pombe kisa ye Muslim pombe kwake haramu.
Ila hicho alichokivaa ni kitu gani?
Usimpangie cha kufanya.Kumbuka huyu alikataa kufanya tangazo la pombe kisa ye Muslim pombe kwake haramu.
Ila hicho alichokivaa ni kitu gani?
jasili ahachi asiliNasikitika Sana kukuona Dada yangu mziki unavyokupoteza mpaka unavaa nguo zisizo na staha.
Mbaya zaidi wewe ni muislamu na waislamu wenzako wanavaa Kwa staha. Am so Disappointed .
Why why why unateseka kujificha ficha na hako kapochi mwangalie Diamond alivyovaa vizuri very comfortable.
View attachment 2483912View attachment 2483913
Kwenye wanawake sina shaka juu ya uzuri na ubaya wao.Kwan wanawake wote ni wazuri? Ndo hivyo hata kwenye mashoga kuna wabayaa na wazurii.
NyetoIyo picha inafaa kwa matumizi mbalimbali
😂😂😂 tukikumbushia wanajisemesha visivyoeleweka.Waislamu ni wanafiki na wana matatizo ya akili, huyu fala c ndo alisema aligoma kufanya tangazo la pombe kisa kwa Uislamu ni haramu.
Ndio kwake (yeye) pombe haramu Ila kukaa uchi sio haramu, kila mtu na mapendeleo yake hata Mimi km sipendi pombe huwezi nipa tangazo la pombe nikafanyaWaislamu ni wanafiki na wana matatizo ya akili, huyu fala c ndo alisema aligoma kufanya tangazo la pombe kisa kwa Uislamu ni haramu.
On she? Wasukuma acheni kuongea lugha sio za kwenu hizo?Halafu mzanzibar kama Huyu ni Bidaha na ni mtihani mkubwa..
Shame on she