Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Anaonekana mwepesi akipanda juu utakabidhi Mali zote za urithi kwakeparagraa ya kwanza tuko pamoja mdogo wangu
Acha tu mpaka nikawa naogopa kulalaπππππππππ Hahahaha nmecheka jaman,,hukupaliwa kwel
π utaoa tu muda ukifikaπππKuna vitu Hata nikijaribu kuimagine haiji akilini yaan mm nimeoa
Ndiona vitisho juu
uwe unasali kabla ya kulalaAcha tu mpaka nikawa naogopa kulala
Naona umeamua koropoka mkuu.Zuchu hajajichubua, hajaweka kalio la plastic, hajachora tatoo, havuti shisha wala kunywa pombe
Ukimpata kama yeye Oa chap masta
View attachment 3014872
Mungu aingilie kati Kwa kwelπ utaoa tu muda ukifika
Taamu kama sauti yako, maua au basi nisijemwaga mchele kwenye kuku wengi.mimi mwenyewe namkubali bwana,, ingekua tofauti io mistari ningeijua vip,,ile sauti taaamuuu aseeeee kongole apewe.
Mxiuuu πππ ushaanza kulewa wewe keshoTaamu kama sauti yako, maua au basi nisijemwaga mchele kwenye kuku wengi.
Nasali sana tu sema ndo hvo siku zngn najikuta nimelala simu ipo mkononi sijamaliza kuandika comment...uwe unasali kabla ya kulala
Kesho nae ni msanii wa sanaaMxiuuu πππ ushaanza kulewa wewe kesho
Mwambie / Mshauri awe anajitahidi Kunyoa Zivuma yake sawa? Sitaki Swali hapa tafadhali ila Wewe mfikishie Ujumbe.Zuchu hajajichubua, hajaweka kalio la plastic, hajachora tatoo, havuti shisha wala kunywa pombe
Ukimpata kama yeye Oa chap masta
View attachment 3014872
Ila maziwa unapata?Mungu aingilie kati Kwa kwel
hakikisha unapolala neno au comment ya mwisho iwe nzuriNasali sana tu sema ndo hvo siku zngn najikuta nimelala simu ipo mkononi sijamaliza kuandika comment...
Hyo huwa haina uhusiano na ndoa, huduma muhimu napata.Ila maziwa unapata?
Mfanohakikisha unapolala neno au comment ya mwisho iwe nzuri
ππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎKesho nae ni msanii wa sanaa
kwamim kabla ya kulala hupenda kusoma mistari mifupi ya biblia kulingana na imani yanguMfano