Kumbe ndiyo maana kuna kundi la malaya sasa hivi hawajichubui wala kuvaa chochote cha bandia mwilini mwao, wao ni mafuta, lotion nguo za vitenge na mishanga kiuononi.
Wanapaparikiwa na wanaume kuwa hawa ni 'natural' na wanauza balaa!
Kwa akili kama hizi, kumbe mwanamke akijibadili kidogo tu, waweza mtoa danguroni na ukaoa!