Zuchu unatakiwa kufahamu, ukiingia kwenye mahusiano na Diamond umeingia kwenye vita

Only the fittest of the fittests shall survive
 
Sasa hizi ndio mada zako mkuu sinza pazuri, mambo ya siasa kule kina Mbowe hupawezi.

N:B huyo Zuchu hakuna asichojua kati ya hayo yote uliomshauri ni kachagua kulalamika tu.
 
Zuchu kaleta mambo hadharani, raia wana mjadili analalamika tena
 
Sasa hizi ndio mada zako mkuu sinza pazuri, mambo ya siasa kule kina Mbowe hupawezi.

N:B huyo Zuchu hakuna asichojua kati ya hayo yote uliomshauri ni kachagua kulalamika tu.
Mimi nachangia majukwaa yote sababu nina brain inayoweza kuweka madini kwenye nyanja zote za kimaisha.
 
Lakn kwa nini kaka yake diamond aende kwenye kipindi kumsema zuu asilazimishe ndoa km awamtaki si wamalizane nyumbani
 
Mnasema vita, mnaijua vita nyinyi? Yaani ukifananisha vita na Diamond na Zuchu mbele ya wakongo wanaweza kukuchapa makofi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…