Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hovyo kabisa🚮😂Yaani nimeusikiliza ikabidi niuchek u tube video yake nikasema huyu ndio alishindanishwa na Burns boy Kweli?😓😓😓😓😓
Yaani,hawaeleweki na hawaeleweshi..hovyo tu.Sijui wanavutia bange mbichi humo magetoni[emoji1783]
Ushaongeza viewers [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Yaani nimeusikiliza ikabidi niuchek u tube video yake nikasema huyu ndio alishindanishwa na Burns boy Kweli?[emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29]
Hiyo Zuchu nimeisoma kwa sauti ya Magu..[emoji28]View attachment 2701385
Yaani nimekaa mahala unapigwa wimbo wako unaitwa "HONEY"aisee ni mbayaaaa....najua utavuma Kwa vile wabongo tuna hulka ya kupenda vitu vya hovyo hovyo.
Hivyo tu.
Haja copy Afrika Magharibi?View attachment 2701385
Yaani nimekaa mahala unapigwa wimbo wako unaitwa "HONEY"aisee ni mbayaaaa....najua utavuma Kwa vile wabongo tuna hulka ya kupenda vitu vya hovyo hovyo.
Hivyo tu.
YANI WAMAKONDE WANNE NDO WANATAKA JAMII NZIMA IAMINI WIMBO MBAYAHao ndio wabongo wanalazimisha mawazo yao binafsi ya fanane na wengine unaweza ukakuta husicho kipenda ww wenzio wana kikimbilia.
Ila uzuri mziki wa siku hizi kama kitu kizuri utakiona kwenye views na hasa streaming kwenye digital platforms kwani huko ndipo kwenye ukweli.So hizo nyingine zinaweza kuwa chuki au mitizamo yako binafsi.
Sasa wamakonde wanahusikaje Tena?YANI WAMAKONDE WANNE NDO WANATAKA JAMII NZIMA IAMINI WIMBO MBAYA
TATIZO WANAZEEKA NA BADO WANATAKA NYIMBK ZA VIJANA