albuluushiy JF-Expert Member Joined Oct 2, 2013 Posts 1,404 Reaction score 686 Dec 4, 2020 #101 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mayu said: Siipendi ccm ila lile lisongi Zuchu ameimbia hawa majambazi lina vibe haswa anapowataja majina na hi hi Click to expand...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mayu said: Siipendi ccm ila lile lisongi Zuchu ameimbia hawa majambazi lina vibe haswa anapowataja majina na hi hi Click to expand...
joseph1989 JF-Expert Member Joined May 4, 2014 Posts 17,420 Reaction score 35,765 Dec 4, 2020 #102 trisha cute said: Hakuna lolote promo tu ndo zinambeba mtu anaimba nyimbo zote kama taarabu afu mnasema habebwi....diamond kala hasara kwa zuchu hamna la maana alilofanya bora angemchukua RUBY anajua kuimba sana ni vile hajapata tu CONNECTION YA KUELEWEKA Click to expand... Hiyo hasara umeipima vipi? Sasa unamchagulia mtu awekeze wapi kwa hela yake,wewe kama una hela unaweza wekeza kwa Ruby hujakatazwa. Mbona Queen Darleen yupo chini ya WCB na Mondi ni kaka yake lkn bado yupo palepale.
trisha cute said: Hakuna lolote promo tu ndo zinambeba mtu anaimba nyimbo zote kama taarabu afu mnasema habebwi....diamond kala hasara kwa zuchu hamna la maana alilofanya bora angemchukua RUBY anajua kuimba sana ni vile hajapata tu CONNECTION YA KUELEWEKA Click to expand... Hiyo hasara umeipima vipi? Sasa unamchagulia mtu awekeze wapi kwa hela yake,wewe kama una hela unaweza wekeza kwa Ruby hujakatazwa. Mbona Queen Darleen yupo chini ya WCB na Mondi ni kaka yake lkn bado yupo palepale.
J jinola hamza JF-Expert Member Joined Jul 25, 2015 Posts 657 Reaction score 441 Dec 4, 2020 #103 Habebwi Na lebo anabebwa Na juma lokole
Mr Q JF-Expert Member Joined Aug 16, 2012 Posts 18,046 Reaction score 38,598 Jun 7, 2023 #104 Mwenye ako na connection yake anione inbobo
adriz JF-Expert Member Joined Sep 2, 2017 Posts 12,207 Reaction score 26,521 Jun 7, 2023 #105 Mr Q said: Mwenye ako na connection yake anione inbobo Click to expand... Connection ipi au unaota ?