ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Bila Shaka unawajua zaidi ya wanavyojijua wenyewe, na kwa mantiki hiyo utakuwa Miongoni mwaohizo sifa wanazo hata kama hawajijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila Shaka unawajua zaidi ya wanavyojijua wenyewe, na kwa mantiki hiyo utakuwa Miongoni mwaohizo sifa wanazo hata kama hawajijui
Kwahyo mashoga walijiumba...basi kumbe Mungu wako hajaumba kila kituMungu ajaumba mashoga , hizo ni tabia za kujifunza kwa hiari yako au kwa kulazimishwa na jamii husika, Mungu anaumba mtu akiwa hana ajualo, angewaumba mashoga asingewaangamiza Sodoma bali angewazawadia pongezi
Nyie nawajua sana....ni sawa na daktari wa vichaa anavowajua vichaa kuliko wanavojijua.Bila Shaka unawajua zaidi ya wanavyojijua wenyewe, na kwa mantiki hiyo utakuwa Miongoni mwao
Ulikuwa unamjua kabla ya kuingia kwenye lebo ya WCBMwanzoni kabisa sikumuelewa kabisa nikiamini lebo ya wasafi inambeba
lakini kadri siku zinavyozidi kwenda naona kuna kipaji kikubwa na sauti ya kipekee yenye mahadhi ya kimwambao
Toka majuzi nasikiliza nyimbo mbili tu.....wa nandi NIBAKISHIE na wa zuchu NUMBER ONE
Nampenda sana Nandy lakini kwa Zuchu nimemuelewa zaidi kwenye huu wimbo
Anacho nifurahisha zaidi anamashairi flani hivi amazing na ninataarifiwa anatunga mwenyewe
Sijajua mantiki yako Ni Nini?Ulikuwa unamjua kabla ya kuingia kwenye lebo ya WCB
Mantiki ni kwamba kabla hajajiunga na akina Diamond hafahamikiSijajua mantiki yako Ni Nini?
anaependa zuchu either ni mwanamke wa uswahilini,lesbian,Tansgeder au Shoga
Kwani kabla ya Rayvanny au Harmonize kusigniwa Wasafi walikuwa wanafahamika?Mantiki ni kwamba kabla hajajiunga na akina Diamond hafahamiki
Kitendo cha kuwajua mashoga zaidi ya wanavyojijua wenyewe hiki kinatoshaaa kusema wewe ni Miongoni mwao, maana ata daktari wa vichaa hawezi kuwa mzima 100%Nyie nawajua sana....ni sawa na daktari wa vichaa anavowajua vichaa kuliko wanavojijua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio Mungu hawezi kuumba kila takataka kwa akili zenu ipo siku mtakuja Sema, Mungu wenu mjamzito Kazaa mapacha wa kufananaKwahyo mashoga walijiumba...basi kumbe Mungu wako hajaumba kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahyo takataka zimejiumba au zimeumbwa na naniNdio Mungu hawezi kuumba kila takataka kwa akili zenu ipo siku mtakuja Sema, Mungu wenu mjamzito Kazaa mapacha wa kufanana
Naona hupendi navyowajua....nyie hata mjificheje ntawajua tu hata kwa mimbo mnayosikiliza hata ufuge midevu kama mfagioKitendo cha kuwajua mashoga zaidi ya wanavyojijua wenyewe hiki kinatoshaaa kusema wewe ni Miongoni mwao, maana ata daktari wa vichaa hawezi kuwa mzima 100%
Wewe ushakuwa Miongoni mwao , wewe endelea tu ,ndio maisha ulioyachaguaNaona hupendi navyowajua....nyie hata mjificheje ntawajua tu hata kwa mimbo mnayosikiliza hata ufuge midevu kama mfagio
Yaani Mavi unye wewe halafu unauliza yameumbwa na Nani?Kwahyo takataka zimejiumba au zimeumbwa na nani
Unajua lakini maana ya kuumba?Yaani Mavi unye wewe halafu unauliza yameumbwa na Nani?
Sawa...wewe endelea kumsikiliza Zuchu,J melody,Mario,Aslay,Aisha Mashauzi na Juma lokoleWewe ushakuwa Miongoni mwao , wewe endelea tu ,ndio maisha ulioyachagua
Umeona akili yako ilivyo na shida, sasa Juma lokole anaimba nini? Acha kukariri mdogo wangu utapataaa tabu sanaSawa...wewe endelea kumsikiliza Zuchu,J melody,Mario,Aslay,Aisha Mashauzi na Juma lokole
Ata Mdomo huumba, mpaka leo ujui maana ya kuumba, pole sanaUnajua lakini maana ya kuumba?
Huo mdomo uliumbwa na nani?Ata Mdomo huumba, mpaka leo ujui maana ya kuumba, pole sana