Zuchu uwezo anao mkubwa habebwi na lebo

Zuchu uwezo anao mkubwa habebwi na lebo

amn kitu masta ,amini ukifnya kazi bila stress na kwa utulivu inakua nzuri zaidi, simaanisha hao wengne awafany kwa utulivu...

ata kwenye mpira angalia timu iliyoko kwenye management nzuri( yenye fweza zake) lazim in perfom vizuri

mfano mwingine angalia tu ata msimu uliopita Simba na Yanga kulikua n tofaut kubwa simba ilikus na kiwango kikubwa Yanga ilitembeza mabakuli na matokeo yao yalikua mabovu

ok turudi kwa zuchu anafanya kazi kwenye moja ya mngmnt kubwa na yenye nguvu apa tz ,cha pili yuko na wasanii wazito EA lazima kazi itoke nzuri ta ww ata kama huna kipaji cha mziki kitendo cha kusainiwa tu wcb tayar nusu y mashabiki wa diamond ushawachukua ,utatengenezewa kazi ambzo ata wew kimoyo moyo utasema huyu sio mimi ni saut yangu tu ipo hapa
.
.
.
conclusion: Zuchu sijasema sio mzur ila sio kweli yupo kwenye level alizowekwa!!!
 
Mwanzoni kabisa sikumuelewa kabisa nikiamini lebo ya wasafi inambeba
lakini kadri siku zinavyozidi kwenda naona kuna kipaji kikubwa na sauti ya kipekee yenye mahadhi ya kimwambao

Toka majuzi nasikiliza nyimbo mbili tu.....wa nandi NIBAKISHIE na wa zuchu NUMBER ONE

Nampenda sana Nandy lakini kwa Zuchu nimemuelewa zaidi kwenye huu wimbo

Anacho nifurahisha zaidi anamashairi flani hivi amazing na ninataarifiwa anatunga mwenyewe
Iko wazi hiyo.
 
Pongezi ziende kwa serikali ya awamu ya Tano, chini ya uongozi wa mheshimiwa Magufuli.
Magufuli ndio anamfundisha kuimba huyu demi,Zuchu kila siku yuko Ikulu kwa course ya kuimba Mwalimu akiwa Magufuli..

Mkuu, ndio mnaelekezwa kumsifu kiongozi wenu kwa kila Jambo,..

Lakini hapa umekosea,Sifa na mpe pongezi mpe huyu mtoto wa kike Kwa jitihada zake,sio Magu
 
Mwanzoni kabisa sikumuelewa kabisa nikiamini lebo ya wasafi inambeba
lakini kadri siku zinavyozidi kwenda naona kuna kipaji kikubwa na sauti ya kipekee yenye mahadhi ya kimwambao

Toka majuzi nasikiliza nyimbo mbili tu.....wa nandi NIBAKISHIE na wa zuchu NUMBER ONE

Nampenda sana Nandy lakini kwa Zuchu nimemuelewa zaidi kwenye huu wimbo

Anacho nifurahisha zaidi anamashairi flani hivi amazing na ninataarifiwa anatunga mwenyewe
Mimi huu wimbo umekuwa kama asali kwangu , my number one Rayvanny ft Zuchu aisee , Zuchu jaman huyu mtoto kaflow mle daah ni nouma Sana , naomba video director akae atulie huu wimbo autendee haki asiukimbize aisee , naomba asisahau location ya baharini sio swingpool au vidimbwi ataharibu....😁
 
Hamna kitu huyo.....Huyo Zuchu bado sijaelewa kama anaimba kaswida au bongo fleva
Mkuu chuga boy kasikilize my number one angalau , mtoto katema vitu mle labda kama ulisoma physics na chemistry + Hesabu huenda usimwelewe kweli😁
 
kwanini mkuu? Kwani anatatizo gani la uimbaji huyo chuchu
Amna tatizo mkuu...ni niche yake tu

kwani kuna tatizo gani na qaswida?Mbona waislam tu ndo wanasikiliza?

Kwani kuna tatizo gani na Singeli?Mbona wa uswahili tu ndo wanasikiliza

kwani kuna tatizo gani na taarabu? mbona wanawake wa pwani ndo wanasikiliza sana
 
Kama hujui kufyata mkia maana yake nini. Tazama alivyofika Zari Domo Mondi akampokea Zuchuro aka takataka ya Mwanayamala ilivyokaa kaa mbali. Halafu Domo Mondi unakulaje kitu chafu kama hiyo!!!? Yaani sura ngumu ya kwa Mama Zacharia kabisa. Ptyuuuuuu.
 
amn kitu masta ,amini ukifnya kazi bila stress na kwa utulivu inakua nzuri zaidi, simaanisha hao wengne awafany kwa utulivu...

ata kwenye mpira angalia timu iliyoko kwenye management nzuri( yenye fweza zake) lazim in perfom vizuri

mfano mwingine angalia tu ata msimu uliopita Simba na Yanga kulikua n tofaut kubwa simba ilikus na kiwango kikubwa Yanga ilitembeza mabakuli na matokeo yao yalikua mabovu

ok turudi kwa zuchu anafanya kazi kwenye moja ya mngmnt kubwa na yenye nguvu apa tz ,cha pili yuko na wasanii wazito EA lazima kazi itoke nzuri ta ww ata kama huna kipaji cha mziki kitendo cha kusainiwa tu wcb tayar nusu y mashabiki wa diamond ushawachukua ,utatengenezewa kazi ambzo ata wew kimoyo moyo utasema huyu sio mimi ni saut yangu tu ipo hapa
.
.
.
conclusion: Zuchu sijasema sio mzur ila sio kweli yupo kwenye level alizowekwa!!!
Mbona Queen Darling anahangaika manyimbo mabovu na yupo lebel kubwa wasafi?

Janeth Jackson aliwahi kuulizwa kwamba ni kweli kwamba yeye sio msanii mkubwa ila Jina la kaka yake na Jackson 5 ndio vinambeba?.................Akajibu kama jina la Jackson ndio linanibeba mbona nikitoa nyimbo mbaya hazifiki popote na nikikaza nitoe nyimbo kali zinatop kwenye chart duniani kote?

Jaydee aliambiwa na clouds sisi ndio tulikua tuna kubeba sasa tuone kama utafika popote......akawajibu kama clouds ndio inabeba wasanii kwanini msibebe ndugu zenu wakaimba wakawa na mafanikio?

Kipaji kipo mkuu kwa Zuchu tena kikubwa sana
 
Mbona Queen Darling anahangaika manyimbo mabovu na yupo lebel kubwa wasafi?

Janeth Jackson aliwahi kuulizwa kwamba ni kweli kwamba yeye sio msanii mkubwa ila Jina la kaka yake na Jackson 5 ndio vinambeba?.................Akajibu kama jina la Jackson ndio linanibeba mbona nikitoa nyimbo mbaya hazifiki popote na nikikaza nitoe nyimbo kali zinatop kwenye chart duniani kote?

Jaydee aliambiwa na clouds sisi ndio tulikua tuna kubeba sasa tuone kama utafika popote......akawajibu kama clouds ndio inabeba wasanii kwanini msibebe ndugu zenu wakaimba wakawa na mafanikio?

Kipaji kipo mkuu kwa Zuchu tena kikubwa sana
Waambie mkuu kipaji hakina mbadala kwenye mafanikio , ili kipaji kifike mbali kinahtaj jitihada tuu, ila kamwe jitihada haiwez kuwa mbadala wa kipaji , .... Hata utoe kafara ndugu zako wote lakn kama kipaji hakipo kwenye mishe unazofanya bado utasota Sana , ndo mana tunaona wote wanatoa mikafara lakn mmoja ni billionaire mwingine ni millionaire ,.... Na kamwe hutamona Shetani anahangaika na mtu ambaye Hana potentiality.....

Hata uombe Mungu namna gan ila kama hujajua kipaji chako ni kipi bado utasota tuu, ila ukijua talent yako ni wap , alaf ukaomba Mungu chap Tu wanakuona unateleza ukiongeza na jitihada ndo bas tena.....

Zuchu kipaji kipo , japo promo inazidi lakni ameonekana kipaj kipo, kwenye Kampeni wasanii kibao wametoa nyimbo lakn wimbo wake ndo umepaa kuzidi hat cover ya kwangwaruu ya harmonize..... mazingira aliyowekewa na juhudi aliyo nayo yanaongezea Tu nguvu mahali pa kipaji...
Mbna sio queen darling, lava lava au huyo dj romm, si wote wanabebwa na label?
 
Ukute wew ni mume wa mtu ao baba .[emoji23][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom