Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Kweli kuna watu mna muda wa kupoteza kumsikiliza huyo kishingo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila lebo nani alimjua Zuchu?Mwanzoni kabisa sikumuelewa kabisa nikiamini lebo ya wasafi inambeba
lakini kadri siku zinavyozidi kwenda naona kuna kipaji kikubwa na sauti ya kipekee yenye mahadhi ya kimwambao
Toka majuzi nasikiliza nyimbo mbili tu.....wa nandi NIBAKISHIE na wa zuchu NUMBER ONE
Nampenda sana Nandy lakini kwa Zuchu nimemuelewa zaidi kwenye huu wimbo
Anacho nifurahisha zaidi anamashairi flani hivi amazing na ninataarifiwa anatunga mwenyewe
Kwa hiyo ulikuwa unataka hasiwe chini ya label?Bila lebo nani alimjua Zuchu?
Harmonize na Rayvanny bila label Nani wangewajua?Bila lebo nani alimjua Zuchu?
Ule wa ''jua lile litelemke'' nao unaupenda?Haka katoto mimi nyimbo zake karibu zote nazipenda.
Nitakufungulia mashtaka ooooh!Kama kuna msanii wa kufukuza WCB ni RAYVAN
😂😂😂😂Pongezi ziende kwa serikali ya awamu ya Tano, chini ya uongozi wa mheshimiwa Magufuli.
Hana lolote anaimba mataarabu tu tena mwanzo mwisho sauti wanaifanyia auto tune kama anaimbia shimoni. Ni label tu inambeba hata kwenye top 10 ya madem wenye uwezo zuchu huwezi muwekaMwanzoni kabisa sikumuelewa kabisa nikiamini lebo ya wasafi inambeba
lakini kadri siku zinavyozidi kwenda naona kuna kipaji kikubwa na sauti ya kipekee yenye mahadhi ya kimwambao
Toka majuzi nasikiliza nyimbo mbili tu.....wa nandi NIBAKISHIE na wa zuchu NUMBER ONE
Nampenda sana Nandy lakini kwa Zuchu nimemuelewa zaidi kwenye huu wimbo
Anacho nifurahisha zaidi anamashairi flani hivi amazing na ninataarifiwa anatunga mwenyewe
Mi pia sielewagi anaimba kaswida au taarabuHamna kitu huyo.....Huyo Zuchu bado sijaelewa kama anaimba kaswida au bongo fleva
Acha kulazimisha unachofikiri wewe kuwa ndio mawazo ya jamii, Kuna watu wanampenda Zuchu, na hizo sifa zako za kipuuzi wala hawanaanaependa zuchu either ni mwanamke wa uswahilini,lesbian,Tansgeder au Shoga
Tofauti ya kaswida na taarabu ni nini? na kwa viashiria vip mpaka ukafikiri Zuchu anaimba moja wapo Kati ya hivyoMi pia sielewagi anaimba kaswida au taarabu
Wewe umesema wanaompenda, Zuchu ni watu wa sampuli hiyo, umefanya wapi tafiti yako hiyo? halafu Zuchu mwanamziki kudai mashabikiii wake ni mashoga huko ni kuchafua kazi za watukuwa lesbian,Transgender,mwanamke wa uswahilin au gay ni kazi?
Sasa mbona wanashindwa kwa Queen dada wa Diamond platnumz why Zuchu.Hana lolote anaimba mataarabu tu tena mwanzo mwisho sauti wanaifanyia auto tune kama anaimbia shimoni. Ni label tu inambeba hata kwenye top 10 ya madem wenye uwezo zuchu huwezi muweka
hizo sifa wanazo hata kama hawajijuiAcha kulazimisha unachofikiri wewe kuwa ndio mawazo ya jamii, Kuna watu wanampenda Zuchu, na hizo sifa zako za kipuuzi wala hawana
kwani mashoga ni uchafu??ebu muogope Mungu...Yani anawaumba watu wewe unawaita uchafuWewe umesema wanaompenda, Zuchu ni watu wa sampuli hiyo, umefanya wapi tafiti yako hiyo? halafu Zuchu mwanamziki kudai mashabikiii wake ni mashoga huko ni kuchafua kazi za watu
Mungu ajaumba mashoga , hizo ni tabia za kujifunza kwa hiari yako au kwa kulazimishwa na jamii husika, Mungu anaumba mtu akiwa hana ajualo, angewaumba mashoga asingewaangamiza Sodoma bali angewazawadia pongezikwani mashoga ni uchafu??ebu muogope Mungu...Yani anawaumba watu wewe unawaita uchafu