Resurrection
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 952
- 1,267
Si kila Proffesor anaweza kuwa nguli ktk uproffeor wake kuna wa chezaji 11 ktk mpira lkn anaetajwa ni mmoja tu ,huyu yumo tu ubabae umemzidi nakumbuka Mkapa katika hard talk alikuwa mkali sana na ubabe mwingi Stephen Sackur akamuuliza mbona umekasirika.Prof Kabudi Bado IQ yake ni ndogo sana