Resurrection
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 952
- 1,267
Si kila Proffesor anaweza kuwa nguli ktk uproffeor wake kuna wa chezaji 11 ktk mpira lkn anaetajwa ni mmoja tu ,huyu yumo tu ubabae umemzidi nakumbuka Mkapa katika hard talk alikuwa mkali sana na ubabe mwingi Stephen Sackur akamuuliza mbona umekasirika.Prof Kabudi Bado IQ yake ni ndogo sana
toa sababu, azam pana shida gani?.Yaani nitoke BBC niende Azam????
Huo ni zaidi ya upumbavu
Ameandika Azam Tv.Mkurugenzi wa Azam media ni Thido Mhando.
Wewe utakuwa mwehu. Nani amekwambia utoke BBC uje Azam. Zuhura kaona inafaa, wewe baki huko huko kama utakuja pata fursa kama hiyo maishani mwako.Yaani nitoke BBC niende Azam????
Huo ni zaidi ya upumbavu
Ni kweli itv kama hawana future vile.!!ITV Mchukueni zuhra atawapaisha sana tatizo lenu hamna mikakati nyie mnaishi na Mipango ile ile ya Mkiti...
Ni kweli itv kama hawana future vile.ITV Mchukueni zuhra atawapaisha sana tatizo lenu hamna mikakati nyie mnaishi na Mipango ile ile ya Mkiti...
Biashara na mpira huwa ni mbalimbali.Azam wanajua sana kutafuta wanahabari wazuri hata kwenye timu yao ya Mpira wangekuwa wanafanya hivi basi timu yao ingekuwa noma sana
Acheni matusi jamani huyu Mama hana hyo michezo ni mama mwenye Stara yake nimefanikiwa kumfahamu kwa ujirani kwa muda mrefu nikiwa hapa LondonKwani ujui lesbian ni watu gani