Zuhura Yunus anazungumza na waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam, Juni 6, 2024

Poor you Lucas!!!
 
Sasa why mwanzoni hawakueleza haya mpaka wakurupushwe?
 
Mkutano wa kutetea uuzwaji wa eneo lenye madini ya kinywe Kwa wa Korea kusini ambao huo mkataba ni kichaa tu anayeweza kuukubali
 

Yaani wazungumzaji wote hao .... Hapa ni lazima tUMEPIGWA. Inanikumbusha kipindi cha DPW ....!! Kwa nini Maza anatanguliza watu mbele wamsemee .... hivi yeye kama Kiongozi wa nchi hawezi kutetea maamuzi anayoyachukua ..!
 
Kwahiyo ikulu ya chamwino anaishi nani? Nawasiwasi litakuwa pagale
 
Bidada akaona afanye mkutano wake wa mwisho, akili mtu wangu
 
Imagine mafanikio makubwa kupatikana kwenye ziara ni KUKOPA...can you imagine!!!?
Halafu anakopa akizileta hapa nchini kuzisimamia vzr zisifisadiwe hawezi!
Hakika tumekula hasara kama Taifa
 

Ungenjibu tu kwa mistari michache.

Sasa essay yote hii ya kazi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…