Wakati mnamlaumu ,tambueni zuhura kafaidika na mengi

Kupata mume
Kapanda cheo kutoka usemaji mpaka katibu mkuu msaidiz
Kashushwa cheo tena sn tuu, Hivi unafki ili kuwa msemaji ikulu n cheo kidogo?
Elewa neno ikulu…

Alikuwa n mamlaka makubwa sn
 
Sijui mimi ndo sielewi. Kutoka kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano IKULU ya RAIS kwenda kuwa NAIBU KATIBU MKUU kwenye OFISI YA WAZIRI MKUU, wapi pako juu ya chenzake? Je, ni IKULU au OFISI YA WAZIRI MKUU? Please wajuvi wa mambo nisaidieni nipate kuelewa
Ndugu yangu elewa neno ikulu…

Ikulu n mziki mwingine, kwa huyo mama zuhuru kurud huku wizaran ni kushushwa cheo sn tuu
 
Ndugu yangu elewa neno ikulu…

Ikulu n mziki mwingine, kwa huyo mama zuhuru kurud huku wizaran ni kushushwa cheo sn tuu
Unajua kuna watu wanasema eti kutolewa ikulu kupelekwa wizarani huko kaula kwa sababu kapandishwa cheo. Ndo maana nikahitaji wataalamu wanisaidie maana kutoka kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano IKULU na kupelekwa wizarani eti huko ni kuula.
 
Ndomana umekula ban akili kisoda 🤣
Ww huna akili! Zero brain umeishia la ngap?
Unabishana na watu tupo kwenye mfumo!
Kuwa naibu katibu mkuu unadeal na nchi nzima,kuwa mkurugenz wa mawasiliano ikulu ni kusign PDF na kuongea na press tu.
N/katibu mkuu anaofisi,anagari ana dereva,ana ps na diplomatic passport.
Ukiwa hujui kitu nyamaza sio kila mtu level yako huku.
 
Nilikuwa sijasoma huu ujinga wako! Unaakili ww zuzu? Unaelimu? Unajua chochote cha serikalini?Au neno ikulu linakuchanganya?
Kuna watu ni wapumbavu halaf mnajidai mnajua😭😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…