Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Baba Mpare Mama mzenji.Vipi swali la British Passport ameshalijibu?
Ndio zipi?Mbona kaanza mapema ku Adopt Tabia za wanaCCM [emoji848]
Alikuwa akitumia nafasi yake kama mwanahabari kuwa muwazi na kukosoa kile kilichokuwa kikifanyika. Wabongo ukiwakosoa wanakuwa kama vile wewe sio 'mwenzao' wanakuchukia moja kwa moja.Michongo tu kupeana ulaji wapwani. Huyu alikua anamnanga jpm BBC sasa mama kampa kamba ya mbuzi refu ale hela ya umma.
Miaka ya giza ilyokuwa na hekima nyingi tu. Mwanasiasa na kiongozi mwenye karisma kama Nyerere hakuna na hatatokea katika Tanzania ya sasa na ijayo.Miaka ya giza hiyo mkuu, Tz kulikua hakuna wasomi.
Ni sawa na kusema mbona zamani kutoka dar hadi mwanza ilikua vumbi tupu.
Usiwalaumu ni kabila la wahaya mara nyingi, ndio hawawezi kutofautisha h na a. Ni kama wasukuma wanavyosumbuka na r na l, sababu ni lugha zetu za asili.Hiyo "h" ya Nini kwenye neno "hasingeweza"?
Kiukweli huwa naboreka sana na watu wanaoshindwa kutifautisha na kujua matumizi ya hayo maneno.
Kuna jamaa mmoja naye ana ujinga kama huo huwa ananikera sana!!
Hebu jifunzeni kiswahili bhana mnatudhalilisha aaaalaaaaaaaaaaaah
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Walishampigia debe humu mara TBCAlijua anakoenda ila hakujua cheo au nafasi. Aliambiwa tu kwamba anahitajika nyumbani na tayari BBC wameshatambua kwamba anahitajika nyumbani kwa kazi maalum ila ni kazi gani hakujua kamwa.
Tunasaga na kukoboaIla Kazuri sana. Hivi kana familia kweli
Keshauvaa uongo bila kukawia baada ya kuingizwa kwenye serikali ya waongo, hadi aache kazi BBC hakujua anakoenda kweli?View attachment 2105667
’Changamoto zitakuwepo lakini nitamudu kazi’’
Mkurugenzi wa mawasiliano ikulu nchini Tanzania, Zuhura Yunus amezungumza na BBC na kueleza ni jinsi gani amepokea taarifa ya uteuzi wake.
Kabla ya uteuzi huo bi Zuhura Yunus alikuwa mtayarishaji wa vipindi na mtangazaji wa idhaa ya Kiswahili ya Shirika la utangazaji la Uingereza BBC.
Bi Zuhura anachukua nafasi ya bwana Jaffar Haniu ambaye amepangiwa kuchukua majukumu mengine kulingana na Taarifa iliyotiwa Saini na kaimu mkurugenzi wa mawasiliano ya rais.
-
Uteuzi wake unakuja miezi kadhaa baada ya kuandika kitabu chake cha wasifu wa Biubwa Amour Zahor mwanaharakati mwanamke wa kisiasa wakati wa mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964.
Mkurugenzi mpya wa mawasiliano ikulu -Tanzania ameiambia BBC kuwa uteuzi wake ulikuwa wa kushitukiza na wala hakuwa na taarifa kama ameteuliwa kwenye nafasi ya kuwa msemaji wa ikulu!
Anasema alikuwa amelala akashangaa simu za watu mbali mbali zinaita nakulia!
Anasema ni kitu ambacho hakutegemea kabisa!
Source: BBC Swahili
Tupo pamoja. Sema Sikumaanisha kwa wateuliwa kupewa taarifa kabla, bali nilikuwa tofauti ktk Mazingira ya kwetu kufanya kama wenzetu wa UK au Marekani Pale Uma unapofahamishwa kuwa Rais anatarajia kumteua fulani katika nafasi fulani. Huku kwetu changamoto ni nyingi zaidi ikiwa ni pamoja na Kuharibiana, Kuchafuata, fitina na suala la Kurubuniwa.Mkuu Ni kwa taarifa tu ukipenda chukua ukiona haikufai iache, hakuna mteuliwa yeyote kutoka ofc ya rais, anaeteuliwa kama kakutana na kifo, wote hupata taarifa mapema Sana na huelezwa wasiseme mpka itakapokuwa realised,
Kwa hyo swal hlo ninashauri waandishi wasie wanawauliza wateuliwa maana wanawatendesha dhambi makusudi, na hakuna mtu yeyote alieteuliwa Bila kuambiwa, na ikitokea uteuzi umevuja, huwa wanafuta uteuzi juu kwa juu na kumpa mwingine mifano ipo mingi tu..
Asikudanganye mtu... URAIA PACHA ni makaratasi tu yale and majority with dual citizenship bado moyo wao unabaki kwenye nchi yao ya asili!Huyo nadhani yeye hajui kwamba watanzania wa sasa sio wale aliowaacha back on14 years past.
Ikulu hawawezi kufanya uteuzi bila kufanya mawasiliano ya kukuandaa.
Tena ukizingatia kwamba yuko United Kingdom[emoji636] .
Wasiwasi wangu usikute tayari anao uraia Pacha.
Hii staili uliyoisema hapa wewe ndiyo nzuri kwa sababu inafanywa na wengine? Assuming ni wewe unatangazwa kuwa utateuliwa kabla ya uteuz;i halafu baada ya hapo zinakuja kutokea circumstances na kujikuta kuwa haujateuliwa; kipi kinakuwa bora kwako katika mazingira hayo. kati ya kuwa ulikuwa unajua kabla kuwa kuna uteuzi unakuja lakini kwa bahati mbaya kateuliwa mwingine na siyo wewe; na kuwa hukuwa unajua kuwa utateuliwa na haujateuliwa?Wenzetu huko Duniani utaskia Rais anategemewa kumteua Fulani kuwa fulani…
Ni roho mbaya tu, hakuna jingine.Nchi nyingi duniani masikini na tajiri, kubwa na ndogo zinatoa uraia pacha ! Tanzania tunakwama wapi ?? Ni roho mbaya au nini ?
Kuna interview nilimsikia alisema hataki ndoa,amechagua kuwa single........Kazuhura nakatamani kukaoa😋
PS: Nje ya mada
Kushitukiza? mbona aliachia ngazi BBC kabla uteuzi haujatangazwa? kaanza siasa hata mechi haijaanza?
’Changamoto zitakuwepo lakini nitamudu kazi’’
Mkurugenzi wa mawasiliano ikulu nchini Tanzania, Zuhura Yunus amezungumza na BBC na kueleza ni jinsi gani amepokea taarifa ya uteuzi wake.
Kabla ya uteuzi huo bi Zuhura Yunus alikuwa mtayarishaji wa vipindi na mtangazaji wa idhaa ya Kiswahili ya Shirika la utangazaji la Uingereza BBC.
Bi Zuhura anachukua nafasi ya bwana Jaffar Haniu ambaye amepangiwa kuchukua majukumu mengine kulingana na Taarifa iliyotiwa Saini na kaimu mkurugenzi wa mawasiliano ya rais.
-
Uteuzi wake unakuja miezi kadhaa baada ya kuandika kitabu chake cha wasifu wa Biubwa Amour Zahor mwanaharakati mwanamke wa kisiasa wakati wa mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964.
Mkurugenzi mpya wa mawasiliano ikulu -Tanzania ameiambia BBC kuwa uteuzi wake ulikuwa wa kushitukiza na wala hakuwa na taarifa kama ameteuliwa kwenye nafasi ya kuwa msemaji wa ikulu!
Anasema alikuwa amelala akashangaa simu za watu mbali mbali zinaita nakulia!
Anasema ni kitu ambacho hakutegemea kabisa!
Source: BBC Swahili
Inasemekana kwamba watu wenye roho mbaya huwa pia hawana akili nzuri !!Ni roho mbaya tu, hakuna jingine.
Uko sawa mkuu, na mambo ya usalama wa mtu pia..Tupo pamoja. Sema Sikumaanisha kwa wateuliwa kupewa taarifa kabla, bali nilikuwa tofauti ktk Mazingira ya kwetu kufanya kama wenzetu wa UK au Marekani Pale Uma unapofahamishwa kuwa Rais anatarajia kumteua fulani katika nafasi fulani. Huku kwetu changamoto ni nyingi zaidi ikiwa ni pamoja na Kuharibiana, Kuchafuata, fitina na suala la Kurubuniwa.
Kiufupi tu hii ngozi yetu imebarikiwa mengi lakini pia ina Mapungufu ikiwa ni pamoja na WIVU na KUUMIA MWENZAKO ANAPOFANIKIWA JAMNO